Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 224
Haya mambo ya muungano hayhitaji kuwekewa ikulu tena bali iwe ni ofisi tu ya kwaida ambayo itakuweko tanganyika na Zanzibar itakuwepo, kuwe kuna chairman wa muungano kutoka kila upande.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vilivyojengwa ndani ya muungano ni vya tz ni kodi za pande zote ni vyetu sote.
Lkn znz kwanz twataka nchi kamili yatakuja kujadiliwa yanazungumzika lkn znz sovereign has
no compromise