Rasimu ya Katiba Mpya: Jina "Tanzania Bara" Linakera!

Rasimu ya Katiba Mpya: Jina "Tanzania Bara" Linakera!

Hata mimi niliposoma nikashanaa wanakazania Tanzania Bara kama vile Tanzania Bara ilikuwepo kabla ya muungano. Neno Tanzania Bara limekuja baada ya Muungano wa nci mbili Tanganyika na Zanzibar yaani Tan (Tanganyika) na ZA (Zanzibar) NIA ikiwa ni kiunganishi kutengenezea jina. Kwa hiyo bila muungano wa nchi mbili huwezi kusema Tanzania Bara maana hakuna nchi nje ya muungano inaitwa Tanzania bara kama ilivyo kusema Tanzania Visiwani. Wao wamesema hawataki Tanzania Visiwani na sisi hatutaki Tanzania Bara bali Tanganyika. Kwa tafsiri nyepesi ukisema sisi ni Bara je Mafia, Rufiji, Ukerewe, Ukara etc ttasema viko Tanzania Bara au viko Tanganyika lakini ni visiwa. Tanganyika lazima, na kama wamekataa kuitwa Tanzania Visiwani na sisi hatutaki Tanzania Bara. Neno Tanzania litakuja pale tutakapounganisha nchi mbili yaani serikali ya tatu ya jamhuri ya Muungano ya Tanzania
 
Ndivo anataka kumanisha kwamba tulikuwa Tanzania Bara. Hizi shule za Kata ni janga tupu yaani hata somo la uraia hawafundishwi? Historia ndo husiseme kabisa. Kwa hiyo Ziwa Tanganyika linamanisha ukoloni?
So unataka kusema kabla ya ukoloni ndo tulikuwa tunaitwa "tanzania bara"?
 
Kuna hofu juu ya Utanganyika wetu?

Hakuna ubaya kujiita Tanganyika....
Lakini napendekeza Tanzania litumike kwani ni jina ambala watanzania wenyewe Tulilibuni...
Tanganyika tulipewa na wakoloni...halikuwepo hapo mwanzo ...unaweza kutueleza ni nani alitoa ruhusa tuiitwe Tanganyika ?

Mimi napendekeza kila mkoa uwe nchi kivyake..tusiekeane usiku
 
Hata mimi niliposoma nikashanaa wanakazania Tanzania Bara kama vile Tanzania Bara ilikuwepo kabla ya muungano. Neno Tanzania Bara limekuja baada ya Muungano wa nci mbili Tanganyika na Zanzibar yaani Tan (Tanganyika) na ZA (Zanzibar) NIA ikiwa ni kiunganishi kutengenezea jina. Kwa hiyo bila muungano wa nchi mbili huwezi kusema Tanzania Bara maana hakuna nchi nje ya muungano inaitwa Tanzania bara kama ilivyo kusema Tanzania Visiwani. Wao wamesema hawataki Tanzania Visiwani na sisi hatutaki Tanzania Bara bali Tanganyika. Kwa tafsiri nyepesi ukisema sisi ni Bara je Mafia, Rufiji, Ukerewe, Ukara etc ttasema viko Tanzania Bara au viko Tanganyika lakini ni visiwa. Tanganyika lazima, na kama wamekataa kuitwa Tanzania Visiwani na sisi hatutaki Tanzania Bara. Neno Tanzania litakuja pale tutakapounganisha nchi mbili yaani serikali ya tatu ya jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Safari hii watanganyika kaunganeni na kenya muitwe tankenyan.
 
Tatizo wanamuogopa nyerere wanahisi atafufuka na kuwakemea
 
hata mimi nakwazika na hili jina! hivi akina warioba walipata ugumu gani kupachika jina tanganyika moja kwa moja?
Mimi hilo jina la Tanzania Bara linanichefua. Hivi Tanzania Bara ndo iliunganana na Zanzibar?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
tunataka tanganyika yetu, yutakutana na zanzibar kwenye shirikisho la mujngano na tanganyika
 
Hili jina la Tanganyika asili yake ni jina ambalo ukilitamka mdomoni linakuwa hali sound vizuri halina mvuto hasa kuliita jina la nchi na ndo mana hata hawo watanganyika wenyewe wanaona aibu na kuwadhalilisha ukiwaita watanganyika ndo mana wakataka Tanzania Bara, mana ni sawa na kipofu kumuita kengeza, mwanamke mwenye mimba ukamuita mjamzito, ukimwi eti wanaita maradhi ya sasa au maradhi ya bara. Watanganyika wanahangaika tu igeni kule Zanzibar, Zanzibar ni Zanzibar tu.,
 
watanganyika mmefilisika.. hamna katiba , hamna nchi and hata jina mnataka mchangiwe.. daaaaaaaaaaahhhhhhhhhh funzo hilo baba kuenda kuona na kukaa kwa mke wako...na kinyume chake.. sasa anza kutafuta nyumba na mengineyo.. aibuuuuuuuuuuuuuu kwa watanganyikaaaaaaaaaaaaa.. anzeni cahp chap kutafuta pa kukaa kwanihapo mnapokaa ni kwetu soso annd at the same time sisi tuko na kwetu pale baraza la wawakilishi....
 
Mi na prefer tubakie either na Tanzania au turudi Tanganyika.
I hate neno "bara"
 
watanganyika mmefilisika.. hamna katiba , hamna nchi and hata jina mnataka mchangiwe.. daaaaaaaaaaahhhhhhhhhh funzo hilo baba kuenda kuona na kukaa kwa mke wako...na kinyume chake.. sasa anza kutafuta nyumba na mengineyo.. aibuuuuuuuuuuuuuu kwa watanganyikaaaaaaaaaaaaa.. anzeni cahp chap kutafuta pa kukaa kwanihapo mnapokaa ni kwetu soso annd at the same time sisi tuko na kwetu pale baraza la wawakilishi....

vipi mliberali, hivi muungano ukivunjika utabakia kwetu na mumeo ccm au utaenda tafuta bwana mwingine arabuni?
 
vipi mliberali, hivi muungano ukivunjika utabakia kwetu na mumeo ccm au utaenda tafuta bwana mwingine arabuni?
miniko kwetubaba.. mkataa kwao au mkataa jina lake mtumwa ka wewe hapo
mi niko hom nimewafunga likamba la shingo ninawabuta taganyika na huo ndio ukweli... kamba na kuburuta tuu mpaka kieleweke sio...
milioni moja akili kubwa anaburuta milioni zaidi ya 40 akili nyingi mbovu zilizokosa maarifa.. huo ndio ukweli
 
Tanzania visiwani na Tanzania Bara? Tanganyika na Zanzibar sound much better
 
....

Mimi napendekeza turudishe Tanganyika ili liendane na lile ziwa Tanganyika.
Hiki ni kimojawapo ya mambo makuu yanayonifanya kukataa kutumia tena jina La Tanganyika. Tanganyika limekaa katika mtindo wa kutugawa...umeona mwenye unasema linalandana na ziwa Tanganyika...hiyo maaana yake nini...kwamba na Kilimanjaro watataka wasikie jina lenye uhusiano na walipo, Songea hivyo hivyo mto Ruvuma, Dodoma na Bwawa lao maarufu Mtera...nakadhalika nakadhalika.

Faida chache za kubaki na jina Tanzania
1. Jina hili litatufanya watanzania (ambao wewe unataka tuitwe watanganyika) tuendelea kushikamana bila kutofautishana kwa misingi mingine.

2. Jina hili litaweka kumbukumbu sawa kuwa tuliwahi kuunga na nchi nyingine.

3. Jina hili litakuwa fimbo nzuri ya kuwatandika wale wenzetu waliotutenga(God forbid)-kama Wazanzibar watakubaliana na viongozi wao wanaowashawishi na kuwalazimisha kutubagua sisi watu wata Tanzania.

4. Jina hili litaendelea kutupa faraja na kujenga uimara wetu katika kuendeleza nia njema ya kuunganishwa waafrika kama wasisi wetu walivyokuwa wamefikiria hapo awali.

5. Jina hili litaonyesha ukarimu wetu kwa waafrika wenzetu.

6....
7.....
8..
Zipo nyingi faida za kuwaendelea kutumia jina la Tanzania.
 
Back
Top Bottom