Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hapo kwenye red tuipinge hii idea kwa nguvu zote, nani ataingia gharama kuwalipa lundo lote la wabunge hawa comedy show? idadi ya wabunge wa sasa inatosha sana.
.
Madaraka ya rais ndiyo yaliyasababisha nchi kuwa masikini japo tuna rasilimali nyingi. Tukitaka katiba yenye ufanisi katika mageuzi ya kiuchumi ni lazima madaraka ya rais yapunguzwe.
Kuhusu wabunge kuwa wawili katika kila jimbo huu ni uvivu wa kufikiri. Tanzania hatuhitaji kutoa hisani kwa watu wasio walemavu kwa gharama kubwa namna hiyo. Wabunge wapambane wake kwa waume na mwisho wa siku apatikane mshindi mmoja kuwakilisha jimbo.
.
Soma post zote acha kuwa mvivu , mawaziri sio wabunge na tanganyika wasizidi 15, na watapitishwa na Bunge.Wakuu vipi mawaziri kutokuwa wabunge...rasimu inasemaje kuhusu hili?
Haya yalisemwa soma post zangu , majaji Bung, majeshi ni kamati ya ulinzi na usalama itakayoundwa kikatiba
Haya kama nilivyowatabiria miezi kadhaa zilizopita serikali imefufuka.
Mi nadhani hii tume ilazimishwe kutengeneza katiba za Tanzania bara na Zanzibar haraka sana, tena kwa gharama zao wenyewe. Haiwezekani watumie hela yote kufanya upuuzi kama huu!!!
Wadau kamanilivyo eleza hapo juu serikali tatu imepita
Serikali 3. Mmmwwwah. Like it
Ndiyo nini hicho? Serikali ya shirikisho, ya muungano na ya zanzibr, ndiyo mfumo gani huobwa utawala? I thought tutakuwa na serkali ya Tanganyika, ya zanzibar na ya muungano?MUUNDO WA MUUNGANO
limechukua muda mrefu sana
sehemu kubwa ya uchambuzi ilikuwa ni muundo wa muungano
sheria imeelekeza kuzingatia uwepo wa muungano
wapo waliotoa maoni kuwa muunh=gano uvunjwe
wapo waliosema usivunjwe
tume haikupendekeza muungano uvunjwe
wapo waliotaka 1 govt hawakuwa wengi bt sababu nzito
wapo waliotaka serikali 4 ie bara, unguja,pemba na muungano hapakuwa na sababau za maana
kulikuwa na wananchi waliotaka muungano wa mkataba esp zanzibar ( huwezi kuwa na muungano wa mkataba bila kuvunja muungano uliopo).waliopendekeza hili walisisitiza uwepo wa muungano
wapo waliopendekeza 2 govt na wengine 3 govt
wapo wamependekeza mfumo wa serikali mbili lakini kuwe na ukarabati mkubwa
3 govt pia kulikuwa na watu wengi
kila muundo utakuwa na changamoto
tume imependekeza muundo wa serikali tatu
serikali ya shirikisho, serikali ya muungano na serikali ya znz
Rasimu inapendekeza serikali tatu. Katiba ya Tanganyika wapi, na/au lini itatengenezwa?