RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

Tanganyika is BACK

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
CCM Niwajuavyo wanaweza kupenya kwenye mabaraza ya katiba na bunge la katiba na kubadili mambo!
 
Kinacho nikera hapa ni tanzania bara,
Wapi Tanganyika? Na kwa nn isiwe tz visiwani ikawa zanzibar.Nani kawaloga wakasahau jina lao??


Sent from my BlackBerry 9780using JamiiForums
 
rasimu za katiba zimegawiwa kwa pinda, rose migiro, viongozi wa vyama vya siasa, na mwenyekiti vya siasa peter kuga mzirai amechukua kwa niaba yao, jukwaa la wahariri nao wamepewa rasimu yao
 
Aliyeelewa hapa anifafanulie what is meaning of this? kama kuna watu siwapendi hapa nchini ni hawa DC na RC. ni ufujaji wa pesa za walipakodi bila sababu yoyote.
Kuhusu ma RC na ma DC hilo si swala la muungano litajadiliwa na serikali husika kama kuna ulazima wa kuendelea kuwepo.
 

Acheni ujinga, Tanganyika imerudi bila katiba......wenzenu Zenji wana katiba na hii ya Warioba ni rasimu ya Tanzania, ya Tanganyika iko wapi
Usiwe na haraka tuko katika uundwaji,katiba ya tanganyika ipo ikulu kwenye kabati imehifadhiwa, wataitoa tu tuitie viraka au mutaiandika upya. Nice Warioba, mamalaka kamili ya zanzibar, oyeeee
 
Wakuu wa mikoa na wilaya sio la muungano , hivyo washirika wanaweza kuliangalia kwenye utendaji wao kama upande mmoja uwepo ama laaa

serikali za mitaa nalo sio la muungano hivyo kila serikali itaamua muundo wake yenyewe

.
Chadema chukueni point hapa kuanzia sasa pigeni campaign kuwa Chadema kikichukua nchi kitaandika katiba ya Tanzania bara itakayofuta wakukuu wa wilaya na mkoa au kama italazimika kuwepo wapigiwe kura kama magavana.
.
 
mzee wa utepe kama kawa na mkasi wake, naanza kuhisi hii katiba kukataliwa mapema ukisoma uso wa bilal na warioba hawana amani.
 
Sasa kama uongozi wa nchi itakuwa ni serikali 3, jmt, tanganyika, na zanzibar.. Je katiba ya tanganyika inatengenezwa na tanganyika yenyewe???

nielewesheni wakuu.. kwahiyo hili neno .. Tanganyika .. linarudi
 
Hapo nafikiri labda hujapaelewa vizuri, mimi nafikiri wana hoja ya maana kwamba, kama Mbunge akifariki basi hakuna haja ya Uchaguzi ili kuokoa gharama, basi mrithi wake atatoka Chama kile kile tu, hivyo ina maana Chama chake watateua tu, badala ya uchaguzi kufanyika, kwa maana nyingine tunapaswa tuchague Sera za Chama na SIO mtu!

Sera za chama zinaweza kuwa mashairi matamu sana yenye watakelezaji wabovu. Ni heri tukachagua mtu kulingana na utendaji wake. Gharama za kurudia uchaguzi si tatizo kama zitangapangwa na kutumika vizuri.
 
We tukana tu, lakini baadaye utajiona mjinga wenyewe... Zanzibar wana katiba yao. Ya shirikisho ndio hiyo tunaitengeneza. Ya Tanzania bara iko wapi, itatengenezwa lini?, na nani? na 2015 Watanzania bara watachagua raisi wao, wabunge wao na viongozi wengine kwa kutumia katiba gani. Huwezi kutengeneza sheria kama huna sheria
mama (katiba)...
kwa maoni yangu Rais aliyepo madaraka muda wake je utasogezwa au?
Swali bara watatumia katiba hipi.?
Pili bara kutakuwa na rais kama zanzibar.?
Bado kuna maswali mengi labda mengine hayajasomwa.
 
Su chadema sasa wapigwa chini na sera yao ya majimbo
Hili suala ni la kitaifa, hiv huwezi kuchangia kama freelance bila kuanza chokochoko??? utayumbisha mjadala humu ndani na kutuchafulia hali ya hewa.
 
nimefurahi serikal;i ya btanzaganyika imekuja
 
Back
Top Bottom