Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
Huu ni upuuzi mwingine, uwasa wa kijinsia hauji kwa ukuwa na idadi sawa ya jinsia bungeni, hao waliopo bungeni kwasasa wamefanya nini kuinsure wanawake wazao wanapata haki zao?mkuu Matola mimi mwenyewe jambo hili siliafiki hata kidogo,mbunge mmoja anatosha sana,kama wameweza kutoa viti maalumu kwa nini wanatuletea tena huu mzigo mwingine?ni nini mantiki ya kuwa na wabunge wa jinsia zote ktk kila jimbo?ni ktk harakati za kutafuta usawa au ni nini?na je usawa unatafutwa kwa kufanya km sisi tunavyotaka kufanya?we have to be very keen here na sio kukurupuka.
Vyama vya upinzania hawapo?nani kawawakilisha?
Mkuu umerogwa kama unapinga rasmu hii.Yaani wamependekeza serikali 3
Ya shirikisho...
Ya Tanzania bara...
Ya Zanzibar...
Alafu wakajiamulia kutengeneza katiba ya serikali moja (shirikisho) peke yake!!! Sasa hizo mbili wamemuachia nani?!!! Ebo!
...sipati picha..Dr Slaa rais mteule wa tanganyika alfu rais wa muungano kikwete na rais wa pwani,no no no rais wa zanzibar of which najua itajitenga na pemba awe sefu...Tanganyika is BACK
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nawauliza mnatafuta utani na Maalim Seif?Mambo ya muungano
Katiba
Ulinzi na usalama
Uraia
Sarafu
mambo ya nje
Usajili wa vyama vya siasa
Ushuru wa bidhaa zinazotokana namambo ya muungano
Huu ni upuuzi mwingine, uwasa wa kijinsia hauji kwa ukuwa na idadi sawa ya jinsia bungeni, hao waliopo bungeni kwasasa wamefanya nini kuinsure wanawake wazao wanapata haki zao?
Suala la rasilimali za taifa halijawa na jibu , rasilimali asili nani anamiliki!
mpaka katiba mpya kwanza itambue uwepo wa tanganyika ndipo tanganyika itaandaa katiba yakeHata mi najiuliza. Na hizo serikali mbili (Tanganyika na Zanzibar), zitakuwa na mamlaka gani kimataifa?
viongozi wa CDM waliozamia sherehe wamekataliwa kupiga picha ya pamoja
Mkuu hebu msome huyu jamaa haswa hapo kwenye kipengele cha idadi ya majimbo na wabunge, nadhani utapata mwangazaTumebimefanya kazi nzuri ila hapo kwenye Wabunge wawili kila jimbo hapana hatuwezi kukubaliana na upuuzi wa namna hii, hii ni katiba kwa miaka 50 ijayo isiandikwe kuwasaidia kina Sophia Simba kurudi Bungeni na kuwaachia watoto zetu urithi mbaya kana kwamba tulikuwa mazezeta. Nasema no wabunge wawili kwa jimbo moja.
Kati ya mambo mengi yaliyoelezwa ni pamoja na 1. IDADI YA MAWAZIRI WASIOZIDI 15. 2. TANZANIA BARA KUWE NA MAJIMBO YA UCHAGUZI 25 TU kila JIMBO WABUNGE (2)WAWLI. 3. BUNGE LA MUUNGANO LIWE NA WABUNGE 75 (Toka Zanzibar 20, bara 50, na wawakilishi wa makundi maalum watano )
.
Chadema chukueni point hapa kuanzia sasa pigeni campaign kuwa Chadema kikichukua nchi kitaandika katiba ya Tanzania bara itakayofuta wakukuu wa wilaya na mkoa au kama italazimika kuwepo wapigiwe kura kama magavana.
.
Labda wewe umeijuwa Chadema leo, hoja hii kwa mara ya kwanza iliwasilishwa na Freeman Mbowe bungeni mwaka 2000, mtu yeyote ambaye si mbulula anafahamu vyema kwamba uwepo wa chadema madarakani ndio mwisho wa hili genge la majobless so called RC na DC..
Chadema chukueni point hapa kuanzia sasa pigeni campaign kuwa Chadema kikichukua nchi kitaandika katiba ya Tanzania bara itakayofuta wakukuu wa wilaya na mkoa au kama italazimika kuwepo wapigiwe kura kama magavana.
.
HIVI SASA, Ni matangazo ya moja kwa moja (live) kutoka ukumbi wa mikutano wa karimjee yakirushwa na TBC1. mgeni rasmi ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania JAKAYA MRISHO KIKWETE...
KATIBA MPYA KWA TANZANIA YENYE NEEMA
TUFUATILIE