Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,762
Ilitakiwa wkt wanaizindua basi na kwenye web wai-upload navyojua wa2 wa serikali walivyo hovyo kwenye ICT wanaweza kuja kuiupload 2015 tena mpaka cdm waikomalie.
Mhh watu mnapenda kuponda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilitakiwa wkt wanaizindua basi na kwenye web wai-upload navyojua wa2 wa serikali walivyo hovyo kwenye ICT wanaweza kuja kuiupload 2015 tena mpaka cdm waikomalie.
Iabidi kuwa na ya zamani na mpya
Tusitegemee la maana. Sanasana ni kukamilisha ratiba tu, maana ni kama bora liende!
Kama Tundu Lissu anaundiwa mzengwe wa kumwagwa Bungeni kwaajili ya katiba hii, unategemea kuna jema lolote kwa Mtanzania humo?
Its sadenning, maana nchi zingine kama zinatokea kuwa makini kupita kiasi, basi ni wakati wa kuandaa katiba. Lakini hawa wenzetu issue ni kuangalia maslahi ya makundi katika katiba!
The move is Kill Them Before They Grow!
tuwe wapole kwani kwenye hadidu rejea za tume kuna kipengele cha kuhakikisha rasimu tajwa inawafikia wananchi,leo ni uzinduzi tu.tuvute subra
haya ni mawazo yako siyo ya wazanzibar subiri wazanzibar watoe maoni yao.
Wadau leo ndio rasimu ya katiba mpya Inazinduliwa Karimjee .Uzinduzi huo unatarajiwa kurushwa na vituo vya TBC1, TBC Taifa, ITV, Star TV, Channel Ten, ZBC TV na ZBC, kuanzia sasa.Kila anaeweza na afuatilie.Hata hivyo ni vizuri kila mtu angetoa maoni yake ikiwa ni kitu gani ambacho akiona kimewekwa humo angefurahi sana na ni kitu gani ambacho kikiachwa atasikitika sana.
Nawasilisha!
Inatia matumaini
- Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya
Jambo la Tatu ni Kuwepo au kutokuwepo kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya. Baadhi ya Wananchi walitaka Wakuu wa Mikoa na Wilaya wasiwepo, wengine walitaka Wakuu wa Mikoa na Wilaya waendelee kuwepo lakini wachaguliwe na wananchi na waengine wakasema wawepo na waendelee kuteuliwa na Rais kama ilivyo sasa. Tume ilitafakari kuhusu suala hili na kuamua kwamba siyo suala la Muungano na kwa kuwa Muundo wa Muungano imependekezwa uwe wa Serikali Tatu, Tume iliona suala la uwepo au kutokuwepo na namna ya upatikanaji wa Wakuu wa Mikoa na Wilaya lishughulikiwe na Washirika wa Muungano.
1."Kamati ya uteuzi itapendekeza majina ya watu wanaofaa kwa Rais ambaye atateua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wengine. Bunge litathibitisha uteuzi wao. Wabunge na viongozi wa aina hiyo hawatakuwa na sifa za kuwa wajumbe wa tume ya uchaguzi."
2."Tume baada ya kupitia maoni ya Wananchi, inapendekeza Rais abaki na kinga kama ilivyo sasa na anaweza kushitakiwa na Bunge kama ilivyo Katiba ya sasa. "
Haya mambo mawili yanatakiwa kupitiwa upya!! tume sio huru na kumuachia rais kinga ni kumfanya asiwajibike!!
HIVI SASA, Ni matangazo ya moja kwa moja (live) kutoka ukumbi wa mikutano wa karimjee yakirushwa na TBC1. mgeni rasmi ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania JAKAYA MRISHO KIKWETE... KATIBA MPYA KWA TANZANIA YENYE NEEMA
TUFUATILIE
Muungano uvunjwe, uvunjike! Kama mke hakutaki (pamoja na kuwa na sura mbaya, masikini hohehahe hana kitu, mdini, mkabila) mpe talaka yake aondoke vinginevyo atakulisha sumu