eros
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 503
- 529
Majimbo yaunganishe/yapunguzwe na wachaguliwe wabunge wa Muungano ambao hawazidi 150. Tupunguze gharama za kuhudumia bunge - ni kubwa mno kwa sasa. Nawakilisha maoni yangu
Tume imependekeza wabunge 75, Tanganyika 50 Zanzibar 20, walemavu 5, wewe unataka kupunguza gharama kwa kuongeza wabunge kuwa 150.