RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

Hapo kwenye red tuipinge hii idea kwa nguvu zote, nani ataingia gharama kuwalipa lundo lote la wabunge hawa comedy show? idadi ya wabunge wa sasa inatosha sana.
 
Tume ya uchaguzi wanaotaka lazima wapeleke maombi na yatachujwa na kamati ya uteuzi ya Tume na mwenyekiti wa kamati ni Jaji mkuu na wajumbe maspika, majaji wakuu na mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na watapendekeza kwa rais wajumbe wasiozidi sita , na bunge litawathibitisha ,

viongozi wa kisiasa hawatakuwa na sifa za kuwa wajumbe wa tume ya uchaguzi
 

Hilo baraza la usalama liwe na nguvu na huru ili Rais anapopendekeza jina lipigiwe kura na baraza la usalama.
 
Mapendekezo ya Tume juu ya Tume ya Uchaguzi yamenigusa! Kwa ujumla mpaka sasa wanaonekana kufanya vyema!
 
Wapo waliopendekeza serikali nne, bara, unguja, pemba na muungano
 
Hilo baraza la usalama liwe na nguvu na huru ili Rais anapopendekeza jina lipigiwe kura na baraza la usalama.

Rubbish! Kenye wanafanyaje? Madaraka ya rais kuwa makubwa ndio yamefanya Rais awateue watu (wakuu wa wilaya etc) wasio na sifa! Majaji wa UPE tumewaona na wapo kama alivyowataja Lissu! Rubbish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
wooooooooooooooooooooo

serikali 3 now on, a step kuvunja muungano
 
Muungano , kuuvunja no , serikali nne no yaani Pemba, unguja, znz na tanzania bara

muungano wa mkataba no,

muungano wa serikali mbili,no

muungano wa serikali tatu, YES
 
Muungano ni serikali tatu (3) mbali ya changamoto zake.....
 
Muungano wa mkataba haiwezekani maana lazima muungano uliopo uvunjwe ili tuwe na serikali mbili huru ziweze kuingia mkataba! Muundo unaopendekezwa ni ule wa serikali tatu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…