Twende pamoja wazee, suala la wabunge 75 (50 bara, 20 znz na tano walemavu) ni kwa serikali ya muungano (shirikisho) na suala la wabunge wanawake kila jimbo maana yake orodha ya juu hapo ni nusu kwa nusu (usiniulize hao 5 wa walemavu watagawika vipi) mipaka ya majimbo hayo itaamuliwa baadae
Muhimu ni kuwa mipaka ya majimbo ya sasa kwa maana Bara na visiwani kwa serikali za Tanganyika na Zanzibar itaamuliwa pia na serikali husika kwenye katika zao baadae. Hoja yangu hapa ni kuwa kwa huku bara bado tutakuwa na majimbo zaidi ya 200 hayo utaratibu wake utaamuliwa na serikali ya Tanganyika huko mbeleni. Angalizo ni kuwa hiyo formula ya viti vya akina mama kwa upande wa serikali ya Tanganyika tutaamua wenyewe ama kubaki na formula ya sasa au ku adopt formula ya muungano yaani pasu kwa pasu.
Ninachokiona mimi ni mzigo mkubwa wa serikali 3 mabunge matatu, marais watatu, mabaraza ya mawaziri matatu shughuli pevu
Muhimu ni kuwa mipaka ya majimbo ya sasa kwa maana Bara na visiwani kwa serikali za Tanganyika na Zanzibar itaamuliwa pia na serikali husika kwenye katika zao baadae. Hoja yangu hapa ni kuwa kwa huku bara bado tutakuwa na majimbo zaidi ya 200 hayo utaratibu wake utaamuliwa na serikali ya Tanganyika huko mbeleni. Angalizo ni kuwa hiyo formula ya viti vya akina mama kwa upande wa serikali ya Tanganyika tutaamua wenyewe ama kubaki na formula ya sasa au ku adopt formula ya muungano yaani pasu kwa pasu.
Ninachokiona mimi ni mzigo mkubwa wa serikali 3 mabunge matatu, marais watatu, mabaraza ya mawaziri matatu shughuli pevu