Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameongeza mzigo wa wabunge wanawake. inamaana hakutakua tena na mchuano kati ya wanaume na wanawake? kwa nini hao wanawake wasiwawekee nafasi za mikoa badala ya jimbo? tutakuwa na wabunge zaidi ya 600, gharama zimepungua? aafu mbona mambo ya rais kuteua bado yapo? kuna utofauti gani na katiba ya sasa? ikitokea rais mwingine kama jk asiyesikiliza ushauri wa tume na kuteua hawara zake tutakuwa tumeepuka nini?
HIVI SASA, Ni matangazo ya moja kwa moja (live) kutoka ukumbi wa mikutano wa karimjee yakirushwa na TBC1. mgeni rasmi ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania JAKAYA MRISHO KIKWETE... KATIBA MPYA KWA TANZANIA YENYE NEEMA
TUFUATILIE
Serikali yetu ya Tanganyika wazanzibar basiiii.. Sasa muende kufanya kazi kwenu...wabunge walioko bungeni sasa basi imetosha, sasa mtakuja wachache kwenye bunge la jamhuri ya muungano. Mpeleke mambo yenu kwenu sasa...
Haki za akina Mdee na Mbatia
Hahahahaahh!Haki za akina Mdee na Mbatia
atafanyiwa usaili na nani?
Ww hujasoma ile rasimu wala hujasikiliza hotuba ya warioba, kiswahili kipo kwenye tunu za taifa na ni lugha ya taifa...bunge litajadili mambo yote mhm ya nchi na kuna serikali tatu, mikataba itajadiliwa kwny serikali ya tanzania bara na ya znzWanaj
yafuatayo ni baadhi ya maoni ya watanzania waliyotegemea kuyaona katika rasimu ya katiba mpya lakini giza;
- kutambuliwa kwa kiswahili kama lugha ya taifa
- mikataba yote kujadiliwa bungeni
ongeza na yako tuone
Una maana ya liberals??Haki za akina Mdee na Mbatia