RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

Su chadema sasa wapigwa chini na sera yao ya majimbo
 
tume inatoa shukurani kwa wananchi, kwa kushiriki ktk mchakato wa kupata katiba mpya kuanzia hatua ya kutoa maoni
 
wana Jf kwani Tbc huwezi kuona through mtandao, wengine hatuna luninga maofcn
 
tumefika hapa kwa sababu ya uwazi wa wananchi

tume inatoa shukrani kwa serikali zote mbili, ya muungano na mapinduzi ya znz
 
Jaji warioba anawashukuru wananchi kwa uwazi wao katika kutoa michango.mpia tume inatoa shukrani kwa serikali zote mbili
 
Hii rasimu ya katiba ni useless
Maana kama inapendekeza serikali tatu, lakini haitoi rasimu ya serikali mbili kati ya hizo, sasa ina kazi gani?!!!
 
Tume inatoa shukrani kwa
1. kwa wanachi kwa kushiriki kikamilifu...kupata katiba hii (rasimu)
2. kwa serikali zote 2, JMT,& ZANZIBAR
3.
 
tume haikuingiliwa hata kidogo na serikali zote mbili..wananchi walikuwa huru kutoa maoni yao, na kwamba serikali walitupa wataalamu wazuri sana
 
Serikali iliwahakikishia ulinzi na usalama wao lakini haikuwaingilia kwenye kazi zao. Serikali imewapa wataalam waadilifu
 
Tanganyika is BACK

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kiasi flani iko fair katka madaraka ya Rais, uteuzi wa Maspika! GOOOD
...
 
1. Rais kuanzia miaka 40,
2. Mgombea Binafsi Ruksa,
3. Zigo la Wabunge wa kuteuliwa hatimaye tumelitua,
4. Serikali ya Tanganyika/Bara inarudi,
5. Urais ruksa kupingwa mahakaman baada ya uchaguzi,
6. Rais anaweza shtakiwa,
7. Wabunge kutokuwa Mawaziri,
8. Wateule wa Rais kuhakikiwa na Bunge,
9. Tume huru ya Uchaguzi,
10. Taifa sasa kuwa na Misingi, Tunu (values) na Goals,
11. Maadili ya viongozi yatakuwa juu,
12. Wananchi kuwa na haki kuwatoa wabunge wababaishaji any time,
13. Wizara kuwa 15 tu, 14. Maspika kutotokana na Wabunge,
15 Supreme court kuanzishwa,
16. Wabunge wa muungano 75 tu,
17 Mambo ya Muungano kubaki 7 badala ya 22.
18. Serikali ya Majimbo yakataliwa, zaidi yatajadiliwa kwenye katiba ya nchi husika
19. Kura za rais lazma zizidi 50% ya voters, zisipotimia wawili wenye kura nying tutawashindanisha tena,
20. Uwepo wa Bunge la Tanganyika

THIS IS EXCELLENT!
As for me! Rasimu nimeikubali sana! Nadhan Katiba hii itaaddress mambo mengi ya msingi ambayo tunayatolea povu leo hii.
 
tunawashukuru wakuu wa mikoa na wilaya, na kila aliyeshiriki nasi hasa watendaji wa kata na vijiji
 
Mbona hayo maoni ni kama yanatufanya sisi CCM kuw chama cha upinzani? Ndio maana ilibidi tutake Mabaraza ya Katiba tuchakachue maoni yenu!
 
Back
Top Bottom