utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
naipongeza serikali ya kiwete, tutamkumbuka kiwete mzee wa katiba na uhuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa safarini ni ratiba,angeweza kuiambia tume iahirishe kwa siku mbili arejee, hatakicommitment kwenye baadhi ya mambo ndio maana kamkaanga BilalHayupo nchini ndugu! Yupo ziarani
Htimaye Tanganyika yetu tuliyoiuza muda mrefu sasa tumeipata,sasa ni wakati wa kuwekana sawa.
Mi nadhani hii tume ilazimishwe kutengeneza katiba za Tanzania bara na Zanzibar haraka sana, tena kwa gharama zao wenyewe. Haiwezekani watumie hela yote kufanya upuuzi kama huu!!!
hahahaha huku zanzibar tuna katiba yetu wewe ifufueni tanganyika au ndio mtaita tanzania baraKwa hiyo kama katiba hii ikikamilika 2014, uchaguzi wa 2015 utakuwa na katiba mpya kwenye eneo la serikali ya shirikisho peke yake. Uchaguzi wa Tanzania bara na wa Zanzibar utafuata katiba gani?!!!
Rasimu inapendekeza serikali tatu. Katiba ya Tanganyika wapi, na/au lini itatengenezwa?
Ndio maana yake, unataka Tanganyika ipangiwe na znz, unataka znz ipangiwe na Tanganyika?Sasa kama uongozi wa nchi itakuwa ni serikali 3, jmt, tanganyika, na zanzibar.. Je katiba ya tanganyika inatengenezwa na tanganyika yenyewe???
nenda kale njaa inakuuma sasa, mia mbili per post zimekutosha kwa leo.
Tanganyika yetu inakuja na wala haina ubishi.hahahaha huku zanzibar tuna katiba yetu wewe ifufueni tanganyika au ndio mtaita tanzania bara
Katiba ya tanganyika iwapi?
Mi ndio najiuliza sasa 2015 Tanzania bara tutajichaguliaje viongozi?