Socratesson
Senior Member
- Oct 5, 2012
- 119
- 23
Wanaj
yafuatayo ni baadhi ya maoni ya watanzania waliyotegemea kuyaona katika rasimu ya katiba mpya lakini giza;
- kutambuliwa kwa kiswahili kama lugha ya taifa
- mikataba yote kujadiliwa bungeni
ongeza na yako tuone
Acha ushabiki usio namana,usikurupuke bali soma between the line.TUNU ya Taifa inazungumzia nini.Hapa hatutaki porojo ni pointi zakishule