Rasmi, Bunge la South Korea lapiga kura kumuondoa Rais Yoon Suk Yeol madarakani baada ya kutangaza utawala wa kijeshi

Rasmi, Bunge la South Korea lapiga kura kumuondoa Rais Yoon Suk Yeol madarakani baada ya kutangaza utawala wa kijeshi

Wakuu,


Wabunge wa Korea Kusini wamepiga kura Jumamosi kumuondoa madarakani Rais Yoon Suk Yeol kufuatia jaribio lake lililoshindikana la kutangaza hali ya kijeshi, hatua ambayo ilisababisha machafuko katika taifa hilo.

Kura hiyo ilipigwa na wabunge wote 300ambapo 204 walikubali, 85 walipinga, huku kukiwa na kura tatu za kutokubaliana na nane kutangazwa kuwa batili.

Ili hoja hiyo ya Rais kuondolewa madarakani ipitishwe, ilihitajika idadi ya theluthi mbili ya kura.

“Wapendwa, sasa nendeni mkafurahie sherehe za mwisho wa mwaka,” alisema Woo Won-sik, Spika wa Bunge la Taifa, baada ya hoja hiyo kupitishwa.

Soma pia: Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Hoja hiyo ilisema kwamba tangazo la Yoon la hali ya kijeshi lilikuwa kinyume cha katiba na kinyume cha sheria kwa sababu hakukuwa na dalili zozote za dharura ya kitaifa, na alishindwa kufuata taratibu kama kutoa taarifa kwa Bunge mapema.


=============================================

South Korean lawmakers voted Saturday to impeach President Yoon Suk Yeol over his failed attempt to impose martial law, which plunged the East Asian democracy and key U.S. ally into chaos.

The vote was 204 in favor and 85 against, with three abstentions and eight votes ruled invalid. All 300 lawmakers in the unicameral National Assembly voted on the motion, which required a two-thirds majority to pass.

“Dear people, now go and enjoy the year-end parties,” Woo Won-sik, the speaker of the National Assembly, said after the motion passed.

The motion held that Yoon’s declaration of martial law was unconstitutional and illegal because there were no signs of national emergency and he neglected to follow procedural rules such as notifying the National Assembly in advance.

Source: Korea Times, NBC News
Tunaweza kulikodi bunge la Korea Kusini lije kuinyoosha Serikali alau kwa miaka miwili?
 
Wabunge wa Korea Kusini walipiga kura Jumamosi kumuondoa madarakani Rais Yoon Suk Yeol kufuatia jaribio lake lililoshindikana la kutangaza hali ya kijeshi, hatua ambayo ilisababisha machafuko katika taifa hilo la kidemokrasia na mshirika muhimu wa Marekani.

Nextime Tanganyika📌🔨💪🏿🙏🏿
Ili Tanganyika tuwe huru tunahitaji kupigania uhuru wetu toka CCM/WATAWALA. Wafe wawe hai lazima waondoke.
 
Wabunge wa Korea Kusini walipiga kura Jumamosi kumuondoa madarakani Rais Yoon Suk Yeol kufuatia jaribio lake lililoshindikana la kutangaza hali ya kijeshi, hatua ambayo ilisababisha machafuko katika taifa hilo la kidemokrasia na mshirika muhimu wa Marekani.

Nextime Tanganyika📌🔨💪🏿🙏🏿
Same constitution as KOREA
 
Bunge gani kila mbunge akisimama kutoa hoja yake anamsifia kwanza rais. Bunge lazima liwakilishe na watu wanaomponda rais.
Hiyo nchi inakoelekea ni shimoni kabsaa, ukiangalia hakuna anayeshinda uchaguzi kwa juhudi zake bali ni kwa mkono wa dola sasa unatoa wapi nguvu za kuikosoa hiyo dola baada ya kuingia bungeni.
 
The have been refusing his budget, his picks. Sometimes when you lose allow the winner to govern. He can't govern if they keep denying all his pick. He need to govern then they can poke holes in his government. They were refusing him a chance to actual govern as they did not want to compromise.
I have checked America and how Dem and GOP rule. Although they are at loggerheads with each other, but they sometimes find a middle ground. They argue in everything but compromise when it comes to military, executive choices of leaders in the Senate hearings and in security.

That economy being number 12 does not mean they were right to deny him the right to rule. Check how Macron is doing. He is given a chance to choose whomever he want for the prime minister. Even if the government may collapse in the long run but at least he is allowed to govern.
korea hawajaanza leo huu ujinga wao!
wana demokrasia kichaa wale watu, raia wao ni very aggressive tofauti na wa-asia wengine,
.
wakorea wakiamua kuandamana basi inakua vurugu, wanaandamana hata pasipo sababu za msingi na nzito, yani wao wanaweza angusha serikali kwa visababu vya kijinga!

hii inakua impeachment ya tatu, 2004, 2016 na sasa 2024,,

korea wana tatizo kubwa sana, hasa raia wao
 
Wabunge wa Korea Kusini walipiga kura Jumamosi kumuondoa madarakani Rais Yoon Suk Yeol kufuatia jaribio lake lililoshindikana la kutangaza hali ya kijeshi, hatua ambayo ilisababisha machafuko katika taifa hilo la kidemokrasia na mshirika muhimu wa Marekani.

Nextime Tanganyika📌🔨💪🏿🙏🏿
so be it to tz
 
korea hawajaanza leo huu ujinga wao!
wana demokrasia kichaa wale watu, raia wao ni very aggressive tofauti na wa-asia wengine,
.
wakorea wakiamua kuandamana basi inakua vurugu, wanaandamana hata pasipo sababu za msingi na nzito, yani wao wanaweza angusha serikali kwa visababu vya kijinga!

hii inakua impeachment ya tatu, 2004, 2016 na sasa 2024,,

korea wana tatizo kubwa sana, hasa raia wao
Yah Wana changamoto zilizotengenezwa na miaka ya inequality. Wasipozitatua watajua na uchumi mvuri lakini bila mwelekeo Bora kiuchumi.
Sipendi udikteta wa Afrika ila mruhusu mtu atawale kama alishinda kihalali. Amepigiww kura halali.
 
Bunge la watu wenye akili na siyo bunge kibogoyo la tulia ambalo chochote kinachopitishwa hata kamacha kijinga linaunga mkono
 
Kukiwa na hali ya dharura nchini unajuaje? Nchi nyingi za Africa viongozi hawatangazi. Ila utajua kwa kuona majeshi yametanda mitaani yakiwa na muonekano wa kutisha.
 
Back
Top Bottom