Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?