Rasmi Diamond aiwasilisha Komasava kwenye tuzo za Grammy. Tutatoboa?

Rasmi Diamond aiwasilisha Komasava kwenye tuzo za Grammy. Tutatoboa?

WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.

Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.

Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?

View attachment 3121644
Je atatoboa bila didy kuona yaliyomo..!
 
WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.

Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.

Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?

View attachment 3121644
Atashinda hiyo tuzo sababu alishawahi kwenda kuangalia movie kwa P Diddy.
 
WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.

Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.

Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?

View attachment 3121644
Ni vizuri kupambana na hao wakali wa kipopo, win or loose anakuwa amepambana at least. Kuogopa kupambana isn't an option.
 
WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.

Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.

Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?

View attachment 3121644
Hao washindani wake uliowataja wamewasilisha nyimbo gani?
 
Back
Top Bottom