Kuna kipindi mange kimambi aliwaaminisha watanzania kwamba jamaa ni shoga na hawezi kuzalisha , kilichotokea amezalisha east afrika nzima
kuwa shoga kunakuzuiaje kuzalisha? mbona mambo mawili tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kipindi mange kimambi aliwaaminisha watanzania kwamba jamaa ni shoga na hawezi kuzalisha , kilichotokea amezalisha east afrika nzima
Achana na maneno ya wakosaji hayo..Nasibu asisahau kumjulia hali bwana ake Pdidy.
Achana na maneno ya wakosaji hayo
wivu huletwa na chuki, wengi amewaacha mbali kimaendeleo..kwamba wanamuonea wivu Nasibu kwa jinsi alivyopewa upako na Pdidy?
Ndio michezo yako niniAtashinda akikubali kupakwa mafuta.
Sasa mkuu wewe umejuaje kapakiwa mafuta au ni michezo yakohiyo tutatoboa ndio mbaya...mi simo kabisa,kulipiwa na didy sitaki kabisaaa
Michezo yke mond na tale si wamesema wenyewe dunia nzima inajua au na hili pia unataka ubishe.Ndio michezo yako nini
Wapi wamesema kuwa wamefanya huo mchezo lete video yoyote wamekili kufanya huo mchezoMichezo yke mond na tale si wamesema wenyewe dunia nzima inajua au na hili pia unataka ubishe.
kivipi?Itamchafua hiyo tuzo bora akose hiyo tuzo
P Diddy mazeeItamchafua kivipi?
Pdidy anahusika vipi?P Diddy mazee
Si aliliwa ili aipateItamchafua kivipi?