Rasmi Diamond aiwasilisha Komasava kwenye tuzo za Grammy. Tutatoboa?

Rasmi Diamond aiwasilisha Komasava kwenye tuzo za Grammy. Tutatoboa?

Kufanyiwa au kutofanyiwa hakuna aliethibitisha zaidi ya porojo za mitandaoni zinazoletwa na wivu wa kuachwa mbali kimaendeleo
Tufanye kafanyiwa halafu pia kutokana na kufanyiwa huko ameniacha kimaendeleo.
Sasa ni hivi wewe fara siwezi kumuonea wivu mwanaume anayepata fedha kwa njia ya kufirwa na mwanaume mwenzake ni bora niendelee kuwa maskini kulipo kuuzalilisha utu wangu
 
Mkuu hawa nigggaz pamoja kwamba wanasema mambo Kama hayo

Hawa jamaa wanapambana Diamond anatoa vyuma Sana

Mimi sio shabaki wa muziki wa Tz Ila huyu Dangote chibu simba atakuja kuleta Grammy
Humu ndani kuna katabia kameibuka

..... Mimi sio mpenzi wa.....lakini.

Mimi sio mfuasi wa ccm lakini......

Mimi sio mfuasi wa Pdidy lakini.........


😅😅😅
 
Tufanye kafanyiwa halafu pia kutokana na kufanyiwa huko ameniacha kimaendeleo.
Sasa ni hivi wewe fara siwezi kumuonea wivu mwanaume anayepata fedha kwa njia ya kufirwa na mwanaume mwenzake ni bora niendelee kuwa maskini kulipo kuuzalilisha utu wangu
Inaonesha wewe ndio unapenda hiyo michezo na unaongea kwa chuki binafsi maana kama nimafanikio diamond ameanza kupata ni muda Mrefu kabisa akiwa hapa hapa bongo na ndio msanii ambaye amekuwa ni balozi wa makampuni makubwa mengi
 
Tuanze na wewe unamuonea Wivu Bakhresa? Uswahili unaongoza fikra zenu kudhania wivu, uchawi, roho mbaya zinatawala mind zenu.
Unamuonea wivu kwa sababu ya itikadi zenu za vyama but lazima ujue jamaa analipwa vizuri sana na CCM lazima awapigie kampeni
 
Unamuonea wivu kwa sababu ya itikadi zenu za vyama but lazima ujue jamaa analipwa vizuri sana na CCM lazima awapigie kampeni
Mkuu huko sasa unazidi kujidhalilisha.

Mimi nimuonee wivu Bilionea kwa sababu gani?

Pesa zake ni kwa ajili yake yeye , familia yake hata wewe hazikuhusu.
 
naona umeumia sana, POle MKuu
Unaumia ni wewe sio mimi hivi umewahi kuona nimemzungumzia mtu vibaya kwa kitu ambacho sijui? wabongo wengi ujuaji umewazidi mpaka mnajitoa akili ukiambiwa unachozungumza kitolee ushahidi huwezi sasa mimi na wewe nani atakuwa mwenye chuki?
 
Mkuu huko sasa unazidi kujidhalilisha.

Mimi nimuonee wivu Bilionea kwa sababu gani?

Pesa zake ni kwa ajili yake yeye , familia yake hata wewe hazikuhusu.
Kama umuonei wivu kwanini umzushie kitu ambacho hauna ushahidi nacho?
 
Mhhh, tuone kama 'Baby Oil' aliyopakwa na P. Diddy itamsaidia, yetu macho.

Haiwezi kumsaidia kwani jamaa yupo lupango na washirika wake wengi wamemtenga just imagine hadi vyuo vikuu vilivyomtunuku did honorary degree vimemnyanganya, vyuo vilivyopokea fedha za did kama bursery wamerudisha.
Aliyefaidi oil ya did kwa africa ni burna boy huyu wa kwetu ameliwa bure
 
Unaumia ni wewe sio mimi hivi umewahi kuona nimemzungumzia mtu vibaya kwa kitu ambacho sijui? wabongo wengi ujuaji umewazidi mpaka mnajitoa akili ukiambiwa unachozungumza kitolee ushahidi huwezi sasa mimi na wewe nani atakuwa mwenye chuki?

Ndugu sio tunaumia tunasikitika.
Hivi hujui kwamba huyo didi aliyewafirafira watu hovyo yupo lupango na dhamana kakataliwa kwamba anaweza kuharibu ushahidi?
FBI wamesema wanaushahidi kibao ukijumuisha documents,video ,audio, items walizochukua kwenye nyumba yake pamoja na watu waathirika
Unaweza ukashangaa huyo domo naye akahitajika huko USA kutoa ushahidi kwa waliyofanyiwa .
Huyu did haya mambo yake yalikuwa yanaongelewa kitambo nilikuwa siamini ila alivyokamatwa na watu walivyojitokeza nimetokea kumchukia sana puff daddy.
Yaani katuharibia domo wetu hivihivi kasababisha wakenya wawe wanawasema wasanii wa bongo hovyo
 
Ndugu sio tunaumia tunasikitika.
Hivi hujui kwamba huyo didi aliyewafirafira watu hovyo yupo lupango na dhamana kakataliwa kwamba anaweza kuharibu ushahidi?
FBI wamesema wanaushahidi kibao ukijumuisha documents,video ,audio, items walizochukua kwenye nyumba yake pamoja na watu waathirika
Unaweza ukashangaa huyo domo naye akahitajika huko USA kutoa ushahidi kwa waliyofanyiwa .
Huyu did haya mambo yake yalikuwa yanaongelewa kitambo nilikuwa siamini ila alivyokamatwa na watu walivyojitokeza nimetokea kumchukia sana puff daddy.
Yaani katuharibia domo wetu hivihivi kasababisha wakenya wawe wanawasema wasanii wa bongo hovyo
Unaongea as if umeona tukio lilikuaje wakati mondi alienda na crew nzima ya Wasafi wakiwa na mwenyeji wao Sweezbeat sasa unaniaminisha vipi kuwa kimetokea hilo suala
 
Unaongea as if umeona tukio lilikuaje wakati mondi alienda na crew nzima ya Wasafi wakiwa na mwenyeji wao Sweezbeat sasa unaniaminisha vipi kuwa kimetokea hilo suala
Hivi wewe jamaa unafikiria did anamiliki kijumba..
Jamaa anamiliki ma mansion watu hata 50 mkakaa ndani msionane .
Na pia ukisikia story za waathirika wengine ni kwamba walikuwa wanapewa vilevi ukivipiga tu unapoteza kumbukumbu ukiamka unajikuta upo kwenye chumba kingine uchi umelala na mwanamke unabaki unajiuliza nilikuwa na sex naye kumbe wahuni wamekusodomise wewe wamekuweka pale kama gheresha.usiyemjua yaani hata hujui kimetokea nini.
Kwa kifupi ndugu story za didi hata si nzuri mwanenu domo aliingia cha kike .
Unaongelea la domo kwenda pale na sweetz, embu tafuta story ya jinsi willy smith anavyojuta kumpeleka mtoto wake wa kumzaa kwa huyo jamaa yeye mwenyewe alimpeleka ila alikuwa hajui michezo ya huyo jamaa..
Cha msingi na sekondari ni vyema tusubiri kesi itakavyiendeshwa mengi yatajitokeza nahisi utaelewa jamaa walikuwa wanaoperate vipi
 
WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.

Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.

Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?

View attachment 3121644
Aende aka Pididiwe tena
 
Back
Top Bottom