Hivi wewe jamaa unafikiria did anamiliki kijumba..
Jamaa anamiliki ma mansion watu hata 50 mkakaa ndani msionane .
Na pia ukisikia story za waathirika wengine ni kwamba walikuwa wanapewa vilevi ukivipiga tu unapoteza kumbukumbu ukiamka unajikuta upo kwenye chumba kingine uchi umelala na mwanamke unabaki unajiuliza nilikuwa na sex naye kumbe wahuni wamekusodomise wewe wamekuweka pale kama gheresha.usiyemjua yaani hata hujui kimetokea nini.
Kwa kifupi ndugu story za didi hata si nzuri mwanenu domo aliingia cha kike .
Unaongelea la domo kwenda pale na sweetz, embu tafuta story ya jinsi willy smith anavyojuta kumpeleka mtoto wake wa kumzaa kwa huyo jamaa yeye mwenyewe alimpeleka ila alikuwa hajui michezo ya huyo jamaa..
Cha msingi na sekondari ni vyema tusubiri kesi itakavyiendeshwa mengi yatajitokeza nahisi utaelewa jamaa walikuwa wanaoperate vipi