AlimlaPdidy anahusika vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlimlaPdidy anahusika vipi?
Wewe umejuaje ameliwa?Alimla
Wapi wamesema kuwa wamefanya huo mchezo lete video yoyote wamekili kufanya huo mchezo
wivu huletwa na chuki, wengi amewaacha mbali kimaendeleo
Ambae hakumridhisha vizuri pididi hawezi pata tuzoWCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644
Habari ya Pdidy ni porojo labda kama kuna uthibitisho mwengine zaidi ya zile kelele za mitandaoni..kuna wivu wa mapenzi pia.
..kuna watu wanamuonea gele Nasibu jinsi alivyomnasa Pdidy.
Ndio maana nimekuuliza we umejuaje kagongwa?nani atakiri mkuu? yani ugongwe kwa tamaa zako halafu ukakiri mbele ya uma?
Ndio maana nimekuuliza we umejuaje kagongwa?
Mimi sio fani wake wa mziki bali nasupport watu wanaonyesha juhudi kwenye kazi zao na yeye ni mmojawapo wa hao situpende kutumia muda vibaya kwa kuchafua watudot zote zimesomeka, zinaunganika kabisa, ni nyinyi chawa wake tu munaojipapatua
Mimi sio fani wake wa mziki bali nasupport watu wanaonyesha juhudi kwenye kazi zao na yeye ni mmojawapo wa hao situpende kutumia muda vibaya kwa kuchafua watu
Kwenda kwa Pdidy hakujustify kuwa kafanya hivyo unataka kuniambia wote walioenda kwa Pdidy wamefanyiwa hivyo?wapi nimesema hana juhudi? namie ndio nimekuwa namchafua wakati mwenyewe ndie aliejitangazia ameenda kwa Didi
Kwenda kwa Pdidy hakujustify kuwa kafanya hivyo unataka kuniambia wote walioenda kwa Pdidy wamefanyiwa hivyo?
Usiseme jamii yake sema wavivu, wazembe,wambea,wenye chuki,wenye hiyo michezo kama wewe ndio mnafanya suala Pdidy iwe agenda kufurahisha mioyo yenu mtu ambaye hana interest na hiyo michezo huwezi kukuta anashadidiya wala kuliongeleaWA jamii kama yake ni wengi sana
Tatizo linaanzia hapo jamaa wote walioenda kufanyiwa upididy ili washinde lazima watemweP Didy bado ana ushawishi kwenye hizo tuzo za grammy ?🤣🤣🤣
Mkuu sizani kama kuna mtu aliyekamilika atamuonea wivu mtu aliyefanyiwa upididy, labda uwe mwanaume ambaye hujakamilika au mwanamke malaya tuwivu huletwa na chuki, wengi amewaacha mbali kimaendeleo
Na wakafanya vitu ambavyo havifai kuwekwa hadharani? Ina maana ni vitu vichafu .so ni wao wenyewe walijichafua kabla hata did hajakamatwawapi nimesema hana juhudi? namie ndio nimekuwa namchafua wakati mwenyewe ndie aliejitangazia ameenda kwa Didi
Mhhh, tuone kama 'Baby Oil' aliyopakwa na P. Diddy itamsaidia, yetu macho.WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644