Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Ngoja nifanye utafitiHivi OG ina video?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nifanye utafitiHivi OG ina video?
Poa mkuu,Ngoja nifanye utafiti
Hahaha mkuu, P Didy ameingiaje humu
Kabisa ila bongo wanamchukulia poa poa sanaHuyu jamaa anapambana Sana he deserve this crown .
Utoboe wewe na Nani? Ukafiri tuWCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644
TakatakaPeleka stress zako kwa watoto wako mkuu.
Watu tuko humu jamvini kuenjoy na kupata taarifa
Kwa muonekano wake kwa sasa analazimisha mambo..Huyu jamaa anapambana Sana he deserve this crown .
Aone mara ngapiJe atatoboa bila didy kuona yaliyomo..!
Haisikiki kivipi wakat album hipo kwenye chart na imevunja record ya kuwa album ulipata stream nyingi spotifyKashapotea. Katoa album haisikiki. He was an industry plant
Kuna kipindi mange kimambi aliwaaminisha watanzania kwamba jamaa ni shoga na hawezi kuzalisha , kilichotokea amezalisha east afrika nzimaWaswahili wanachukia mafanikio ya Dogo na kumzushia kila jambo dogo ana nyota anauza nyimbo zake mwanzo walisema freemason sasa wamegeukia USA wakitoka hapo sijui watakuja kusema nini tena...
Walimalizana vipi wakati walikimbia na manager wake..
Diamond aliitwa mgumba kwa mujibu wa Mange kimambi hawezi kuzalisha angekuwa anasiliza maneno ya watu hazingefika hapo aliponawewe umeyaamini kabisa maneno yao? mbona hawakusema toka mwanzo kama walikimbia?
Wasizwa wanawachukia sana wadogo wenye mafanikio baada ya kupambana ni kubaki kuongea kila kitu kibaya juu yake...Kuna kipindi mange kimambi aliwaaminisha watanzania kwamba jamaa ni shoga na hawezi kuzalisha , kilichotokea amezalisha east afrika nzima