DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sadly hatopata ata kama anadeserve
Kupeleka nyimbo yake tu Grammy inaonesha ni namna gani jamaa huu muziki anaujua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sadly hatopata ata kama anadeserve
Na suruali yake ilivotatuka jukwaani 🤣🤣Kuna Asake huyu naye ana moto wake 😃
WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644
Hii nina uhakika asilimia 100 tunachukua.
Kiukweli hili ngoma limebamba duniani kote. Beat ni kali, mistari imenyooka, vibe lake ni la asili pia chupa limekaa vizuri.
All the best Platnumz.
Tumia akili utajuaItamchafua kivipi?
Na video tunayo 😃Na suruali yake ilivotatuka jukwaani 🤣🤣
Unauliza mdudu ndani ya kokwa?Hahaha mkuu, P Didy ameingiaje humu
Utajua mwenyewe.Oooops wrong door!
Sidhani kama nina energy ya kubishana leo
Weka sababu, tuone kama zina mashiko. Kama Watanzania tunapaswa kwanza kumpa hongera, sio hatuo ndogo hiyo.Itamchafua hiyo tuzo bora akose hiyo tuzo
Kwani hujui kuwa p diddy ndiye anaye miliki upepo wa matunzo yote makubwa ana watu wake yeye akisema iwe imekuwaIrrelevant.
Tuzo ya Grammy inamchafuaje Diamond?
Diddy Alisha Fanya yakeSiku sio nyingi Grammy inakuja Tanzania.