RASMI Harmonize aachana na WCB

Kwanini mkuu
 
Mbona hapo imeandikwa wcb4life mtoa mada naona unautindio wa akili
Ile ameweka kuwa appreciative, lakini hayupo tena. Unaeza ona hata show ya Dodoma alipost kutoa support lakini hakuwepo kwenye list. Na show hayupo.
 
Wabongo kwa Umbea hawajambo mtu anaandika utafikiri ni kweli,kwann mnataka Harmonize aondoke WCB.Harmonize hawezi kuondoka WCB leo wala kesho acheni stori za vijiweni.
 
Mbona kwenye bio bado ipo WCB4Life. Au shida ni kuondoa signed... hata akiwa wapi bado ni chapa ya WCB
 
Mtoa post hujui kiinglish.....Kuna maneno WCB4LIFE
 
Ile ameweka kuwa appreciative, lakini hayupo tena. Unaeza ona hata show ya Dodoma alipost kutoa support lakini hakuwepo kwenye list. Na show hayupo.
Mzee baba wewe ndo unataka aondoke au yeye aondoke mbona ili alishazungumza kwamba ikiwa show zinaingiliana na show za nje kwenye wasafi festival anakuwa hayupo ndo taratibu walijiwekea wasafi ndo maana mboso na rayvanny hawakuwepo wasafi festival iliyofanyika Tabora.
 
Mbona naona #WCB4Life ama yenyewe inamaanisha nini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…