Ndo tatizo lakujifunza kuandika thread ndio linalomkuta mtoa mada we msamehe tu.Daah wabongo nyoko kwa hiyo ulikuwa umescreenshot bio ya harmo unasubiria siku atakayobadili ulinganishe? Haya hivyo mbona bado kaandika #WCB4LIFE au mimi ndio nimeona vibaya
Naona mmeamua kumuumbua mtoa mada.Mbona naona #WCB4Life ama yenyewe inamaanisha nini!?
Victoire issue si kuondoka je anaweza kujisimamia je anaweza kuimili fitna za mziki kujisimamia sio Jambo dogo Kama unavyofikiri ndo maana umeona hakuna hata msanii yoyote alifanikiwa Sana out of wcb.kingine kinachomcost harmo 80% ya mashabiki wa harmo ni wa diamond je unafikiri akiondoka wataendelea kumsapoti mfano richmavoko huyo wapi Sasa? Si alifanya vizuri alivyokuwa wcb kwa ngoma Kama ibaki story,Rudi,show me n.k Sasa hiv Yuko wapi?Hata wao wamefaidika nae,hawezi zeekea wbc jamani.
Mbona bado kuna maneno ya WCB? we vipi?Star namba moja wa Music Tanzania anaye wika kwa sasa Harmonize a.k.a Kondeboy ameachana na lebel yake ya Music WCB iliyo chini ya Mwanamuziki Diamond Platnumz.
Hii ni baada ya kubadirisha bio yake ya Instagram. Hapo awali ilikua ikimuonyesha Harmonize kuwa yupo chini ya lebel hiyo kwa utambulisho wa maneno haya SIGNED UNDER WCB
Ambapo hivi sasa ametoa maneno hayo. Hivyo hii inaonyesha kabisa Mwanamuziki huyo ametemana na lebel hiyo.
PichaView attachment 1174527
Ndo tatizo lakujifunza kuandika thread ndio linalomkuta mtoa mada we msamehe tu.
Hivi kuna watu mna vichwa vigumu? CCM walishasema hawatatumia msanii wa dance wala movie hiyo 2020 au ulikuwa ujazaliwa wakati Bashiri akibashiri haya?Mwakani uchaguzi atapiga ela balaa likipita tu ili tukio anarudi wcb......anataka azichote mwenyew na sio kugawana na kundi
CHITOHORIAtapewa ukuu wa wilaya kule kwa wamakonde
Harmonize kashakua Hana usanii wa kubahatisha kama kina Richard mavokoVictoire issue si kuondoka je anaweza kujisimamia je anaweza kuimili fitna za mziki kujisimamia sio Jambo dogo Kama unavyofikiri ndo maana umeona hakuna hata msanii yoyote alifanikiwa Sana out of wcb.kingine kinachomcost harmo 80% ya mashabiki wa harmo ni wa diamond je unafikiri akiondoka wataendelea kumsapoti mfano richmavoko huyo wapi Sasa? Si alifanya vizuri alivyokuwa wcb kwa ngoma Kama ibaki story,Rudi,show me n.k Sasa hiv Yuko wapi?
mdanganyeni mwenzenu..msimshauri nyie mpotezeni kama mlivyofanya kwa mavoko...Harmonize kashakua Hana usanii wa kubahatisha kama kina Richard mavoko
rudia kusoma ulichoandikaLeo ndio mnaona ananyonywa mbona wakati ndio anajiunga hamkusema ananyonywa? Binadam nyie ni nyoka
takataka mavoko unamlinganisha na kondemdanganyeni mwenzenu..msimshauri nyie mpotezeni kama mlivyofanya kwa mavoko...
Hivi kuna watu mna vichwa vigumu? CCM walishasema hawatatumia msanii wa dance wala movie hiyo 2020 au ulikuwa ujazaliwa wakati Bashiri akibashiri haya?