RASMI Harmonize aachana na WCB

Daah wabongo nyoko kwa hiyo ulikuwa umescreenshot bio ya harmo unasubiria siku atakayobadili ulinganishe? Haya hivyo mbona bado kaandika #WCB4LIFE au mimi ndio nimeona vibaya
Ndo tatizo lakujifunza kuandika thread ndio linalomkuta mtoa mada we msamehe tu.
 
Hata wao wamefaidika nae,hawezi zeekea wbc jamani.
Victoire issue si kuondoka je anaweza kujisimamia je anaweza kuimili fitna za mziki kujisimamia sio Jambo dogo Kama unavyofikiri ndo maana umeona hakuna hata msanii yoyote alifanikiwa Sana out of wcb.kingine kinachomcost harmo 80% ya mashabiki wa harmo ni wa diamond je unafikiri akiondoka wataendelea kumsapoti mfano richmavoko huyo wapi Sasa? Si alifanya vizuri alivyokuwa wcb kwa ngoma Kama ibaki story,Rudi,show me n.k Sasa hiv Yuko wapi?
 
Mbona bado kuna maneno ya WCB? we vipi?
 
WCB for life haimaanishi yupo Wasafi coz ilo. neno WCB for life ata wewe unaweza andika maana linamaanisha au linabeba dhana ya ushabiki ndio maana unaweza kuta kwenye bajaji, Daladala n.k

Speaking of neno Signed under Wasafi hii ni maana nyingine tofauti na WCB for life coz Signed under Wasafi lina maanisha kuna mkataba apo na yuko chini ya label husika ndio maana huwez kuta mtu kajiandikia tu otherwise atakae andika hivyo basi haelewi maana yake Unless awe kweli amesaini mkataba na Label husika iwe Wasafi au yoyote..



Ova..[emoji41]
Ndo tatizo lakujifunza kuandika thread ndio linalomkuta mtoa mada we msamehe tu.
 
Mwakani uchaguzi atapiga ela balaa likipita tu ili tukio anarudi wcb......anataka azichote mwenyew na sio kugawana na kundi
Hivi kuna watu mna vichwa vigumu? CCM walishasema hawatatumia msanii wa dance wala movie hiyo 2020 au ulikuwa ujazaliwa wakati Bashiri akibashiri haya?
 
Harmonize kashakua Hana usanii wa kubahatisha kama kina Richard mavoko
 
bora sh 100 ya kila siku kuliko 10,000 ya mara 1 kwa mwaka...Harmonize achana na hizo ten ten zitakuponza ni bora uchutame upate vi sh 100 vyako daily in all ur life..Maisha ndio haya Haya hivi umetoka huko WCB diamond akasema Nyimbo zako zizimwe off WASAFI FM aseee sijui utaskilizwa wapi?

Muigeni diamond mwenzenu kabla hajamwamwaga mboga huwa anakua tyr ameshajua huu ugali ntaulaje...We shauri lako fatisha maneno udanganywe umekua unanyonywa aseeeeeeeeeee ukitaka kujua Diamond ndio baba ako kwenye MUZIKI jitenge nae then utaiskilizia...
 
We ni bashiri
Hivi kuna watu mna vichwa vigumu? CCM walishasema hawatatumia msanii wa dance wala movie hiyo 2020 au ulikuwa ujazaliwa wakati Bashiri akibashiri haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…