Ndo tatizo lakujifunza kuandika thread ndio linalomkuta mtoa mada we msamehe tu.Daah wabongo nyoko kwa hiyo ulikuwa umescreenshot bio ya harmo unasubiria siku atakayobadili ulinganishe? Haya hivyo mbona bado kaandika #WCB4LIFE au mimi ndio nimeona vibaya