RASMI Harmonize aachana na WCB

Na kuna watu wamechangia hii mada bila kujishughulisha kuangalia hizo Picha, yaani hawajaona hapo
Hata wewe unaweza Kuandika WCB4life kijana ila kamwe huwezi kuandika SIGNED UNDER WCB... so anaweza toka wcb lakini still akawa Fun wa WCB...!! Ila hawezi toka wcb alafu still kwenye bio yake akaandika signed under wcb.. Imeishaaa hiyoo[emoji23][emoji2089][emoji2089]
 
umesimamia wapi...? Aondoke or abaki
 
Sio kunyonywa tu Na kunyanyaswa pia
mmmmh kunyanyaswa na kunyonywa...? Wabongo ...!
Umejuaje hayo mwanangu ashawahi lalamika kwa hilo...?
vp utajili alionao unaosadikika kumkaribia diamond...?
vp kuhusu collaboration za kimataifa anazofanya na wasanii tofauti na wasanii wa huko nje ruhusa anaitoa wapi...?
huo unyonyaji umekaajekaaje..?
 
Mwacheni aendeleze mziki wake. Kishakua. Kachoka kunyonywa na kina babu Tale.
kunyonywa...?
kwan ashawahi kulalamika kuwa ananyonywa...?
vp utajiri alionao mpaka kunakipindi mkawa mnamfananisha na bosi wake diamond...?
inamaana huo utajiri aliupata nje na mziki...?
je anafanya biashara gani nje na mziki kwa kwa mafanikio aliyonayo ikiwa ananyonywa na timu yake ya WCB..?










Kama hutojari naomba majibu tafadhari..
 
Kama kagombana nao akaamua kusepa hawezi kuweka neno WCB mjomba
 
Sio rahisi kibiashara labda agharamie. " Hasiye upande wetu Ni adui yetu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…