RASMI - Kenya ita Copy Katiba Ya Tanzania kwa Mfumo wa serikali

RASMI - Kenya ita Copy Katiba Ya Tanzania kwa Mfumo wa serikali

Kwanini waitaje hata kama ni Mara moja?, kwanini wasitaje hizo nchi za wazungu japo hiyo Mara moja?, ni nchi gani kati ya hizo za wazungu ambazo PM anateuliwa na rais?.

The fact that you have mentioned Tanzania even once in a very important document like this, signifies the importance of Tanzania to Kenya.

Hata kama Tanzania isingetanywa, lakini kitendo cha kufanya kama tunavyofanya Tanzania, ni dalili fika kwamba mnatuiga, kwasababu matamshi Mengi ya wanasiasa mbalimbali na wananchi wa Kenya wamekuwa wakiitaka serikali na viongozi wa Kenya kuiga mfano wa Tanzania

DRC wabunge wanalia na rais wao kuwa katumia USD 50+mio kwa ajili ya safari kwa miezi 6. Wanasema safari hizo hazina tija. Mbona Magufuli haendi hizo safari na nchi yake inasitawi tuu.
 
Wakuu,
Ripoti iliyo tarajiwa na wakenya baada ya salamu za heri kati ya Odinga na Kenyatta ipo tayari.

Japo sina riporti mkononi, (Inatolewa kesho kwa umma) habari za leo za Citizen TV zimesema bayana kwamba Kenya sasa itachukua mfumo wa katiba ya Tanzania.

Vyeo vya juu ni Rais, Naibu wake na Waziri mkuu ambaye atachaguliwa na Rais.
Riporti kamili na nukuu za mahali kamati ya mabadiliko ilipo taja Tanzania nita update uzi huu kesho.

Laleni salama..
MUNGU AIBARIKI TANZANIA, MUNGU AMUBARIKI NYERERE (Muasisi wa Katiba ya JMT 1977 - Akili kubwa)
Hawawezi Katiba ya Tanzania ni ya Mungu mtu wakienda sio maiti kama watanzania hawatakubali.Tanzania Rais ndio kila kitu Katiba gani hii
 
Back
Top Bottom