Rasmi: Kwa alivyotetea ukweli kwenye suala la Bandari, Tulia Ackson Mwansasu apewe kijiti 2030 kuongoza Tanzania

Huo ni mtazamo wako.

Kwangu naona yuko vizuri. Akiendelea hivi na akajijenga zaidi ki exposure nitashauri kwa chama ndo ashike kijiti 2030
Huo ushauri unaenda kuutolea kwenye Chama gani? Tangu lini CCM ikapokea ushauri kutoka kwa watu wa aina yako?
 
Kuliko wajivuni wawili Maderu na Kipara. Tulia is the best candidate 2030 CCM msifanye kosa
 
Huo ni mtazamo wako.

Kwangu naona yuko vizuri. Akiendelea hivi na akajijenga zaidi ki exposure nitashauri kwa chama ndo ashike kijiti 2030
Hapa kuna code muhimu sana umetoa mkuu "nitashauri kwa chama"
Hahaa hii nchi bhana
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 30 duuuh !

Ticts ilikuwa 20 na tuliona ni mingi sana !
 
Huo ushauri unaenda kuutolea kwenye Chama gani? Tangu lini CCM ikapokea ushauri kutoka kwa watu wa aina yako?
Endelea hivyo hivyo kutokuelewa namna ushauri wangu unavofanyiwa kazi na nchi na chama
 
Pia miaka 15 baadae uwepo na uje na matokeo na mafanikio ya kipindi hicho.
 
Kuliko wajivuni wawili Maderu na Kipara. Tulia is the best candidate 2030 CCM msifanye kosa
Ajijenge na awe mtulivu. Kwenye hili ametuimpress sana tunaojua dunia iko wapi na inaenda wapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…