Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
- Thread starter
- #21
Singida Utd
Singida Big Stars
Singida Fountain Gate
Ihefu
Singida Black Stars
Singida Wajemeni FC......
Hapa umetaja timu tatu tofauti. Shida iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Singida Utd
Singida Big Stars
Singida Fountain Gate
Ihefu
Singida Black Stars
Singida Wajemeni FC......
Kila la heri sheikhNaam
Nenda ukakuze uzoefu ili baadaye uje tufanye kazi Msimbazi miaka ijayo 🤗Asante sana mkuu
Msimbazi sio timu ya kufanya nayo kazi, usipotoshwe😅Nenda ukakuze uzoefu ili baadaye uje tufanye kazi Msimbazi miaka ijayo 🤗
Hahaha..........hivi Kuna timu kubwa kuliko Simba sports club Bongo hii 😜Msimbazi sio timu ya kufanya nayo kazi, usipotoshwe😅
Hapa umetaja timu tatu tofauti. Shida iko wapi?
Haina tabu, nimefurahi tu kuona mkoa umebarikiwa kuwa na timu nyingi kwa wakati 'kafauti'.Hapa umetaja timu tatu tofauti. Shida iko wapi?
Kila la kheri mkuuNitazingatia weledi kama kawa! Lakini banter zitakuwepo pia. Mpira ni burudani.
SawaWadau wa Soka
Napenda kuwataarifu kuwa nimekabidhiwa jukumu zito la kuwa Msemaji wa Klabu ya Singida Black Stars yenye maono makubwa na kuongoza Idara nyeti ya Habari na Mawasiliano.
Nami nipo tayari kuisemea na kuitetea kwa weledi na maarifa yangu yote.. Eeh Mwenyeezi Mungu nisaidie 🙏🏾
View attachment 3014262
Aaahaaa6Singida Utd
Singida Big Stars
Singida Fountain Gate
Ihefu
Singida Black Stars
Singida Wajemeni FC......
Jitahidi page zenu ziwe na ubunifu kama ule wa page ya mashujaaaUnataka nirudi kwenye mwili usio na shukran?
🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania kuwa msemaji wa timu ni kazi laisi sana inakubidi kujua kusifia timu yako, atakama unajua hiwezi ktk jambo husika.
Kila la kheri Masanza kijana muungwana Sana [emoji106]Wadau wa Soka
Napenda kuwataarifu kuwa nimekabidhiwa jukumu zito la kuwa Msemaji wa Klabu ya Singida Black Stars yenye maono makubwa na kuongoza Idara nyeti ya Habari na Mawasiliano.
Nami nipo tayari kuisemea na kuitetea kwa weledi na maarifa yangu yote.. Eeh Mwenyeezi Mungu nisaidie [emoji1488]
View attachment 3014262
Ukiuza kitu chako kitakuwa na laana endelevu ya kupigwa bei kila kinapokwenda. Ilianza Kuitwa;Singida Utd
Singida Big Stars
Singida Fountain Gate
Ihefu
Singida Black Stars
Singida Wajemeni FC......
Wadau wa Soka
Napenda kuwataarifu kuwa nimekabidhiwa jukumu zito la kuwa Msemaji wa Klabu ya Singida Black Stars yenye maono makubwa na kuongoza Idara nyeti ya Habari na Mawasiliano.
Nami nipo tayari kuisemea na kuitetea kwa weledi na maarifa yangu yote.. Eeh Mwenyeezi Mungu ni
Oya semaji hongera, check inbox.Wadau wa Soka
Napenda kuwataarifu kuwa nimekabidhiwa jukumu zito la kuwa Msemaji wa Klabu ya Singida Black Stars yenye maono makubwa na kuongoza Idara nyeti ya Habari na Mawasiliano.
Nami nipo tayari kuisemea na kuitetea kwa weledi na maarifa yangu yote.. Eeh Mwenyeezi Mungu nisaidie 🙏🏾
View attachment 3014262
Halafu nakumbuka na mimi nilimuambia amekimbia njaa tu Singida Fountain Gate! Hakuna kingine.Niliwahi kukuuliza swali kama unampango wa kuhamia Black stars (ihefu) ukasema hauba
Ngoja niutafute ule uzi wangu nikukumbushe