RASMI: Massanza ni Msemaji wa Singida Black Stars

RASMI: Massanza ni Msemaji wa Singida Black Stars

Mkuu, mi nina mambo mawili:

(2) Katika ofisi yako, ebu wekeza zaidi katika vitengo vya social media, kuanzia YouTube, Meta Platforms etc, kuwe na watu active, creative na best graphics/media.

(1) Hii si ndio iHefu au mi namix?
View attachment 3014478

Otherwise, kila lakheri mkuu.

Advice taken. Nina vijana wa kutosha kwenye idara na tayari nishawapa dira katika maeneo haya. Nawaamini, watafanya kazi nzuri.
 
Ukiuza kitu chako kitakuwa na laana endelevu ya kupigwa bei kila kinapokwenda. Ilianza Kuitwa;
  • Mawenzi Market,
  • DTB
  • Singida Big Stars,
  • Singida Fountain gate,
  • Ihefu,
  • Singida Black Stars

Umechanganya madesa. Ihefu ambayo kwa sasa ndio Singida Black Stars hazihusiani na hizo za juu.
 
Kuna Uzi uliulizwa kama unampango wa kuwa msemaji wa Singida Black star, ulikataa vipi Tena??

Nilikataa kuhusu Ihefu lakini walipobadilisha jina na kunipa ofa nono ofkoz nakataaje tena? Pia project nimeipenda kwa sababu malengo ni makubwa na usajili unaofanyika ni balaa. Subirini tu!
 
Nilikataa kuhusu Ihefu lakini walipobadilisha jina na kunipa ofa nono ofkoz nakataaje tena? Pia project nimeipenda kwa sababu malengo ni makubwa na usajili unaofanyika ni balaa. Subirini tu!
Acheni kutumia matusi kwenye page yenu
 
Back
Top Bottom