Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, mi nina mambo mawili:
(2) Katika ofisi yako, ebu wekeza zaidi katika vitengo vya social media, kuanzia YouTube, Meta Platforms etc, kuwe na watu active, creative na best graphics/media.
(1) Hii si ndio iHefu au mi namix?
View attachment 3014478
Otherwise, kila lakheri mkuu.
Ukiuza kitu chako kitakuwa na laana endelevu ya kupigwa bei kila kinapokwenda. Ilianza Kuitwa;
- Mawenzi Market,
- DTB
- Singida Big Stars,
- Singida Fountain gate,
- Ihefu,
- Singida Black Stars
Laisi sana!Tanzania kuwa msemaji wa timu ni kazi laisi sana inakubidi kujua kusifia timu yako, atakama unajua hiwezi ktk jambo husika.
Oya semaji hongera, check inbox.
Halafu nakumbuka na mimi nilimuambia amekimbia njaa tu Singida Fountain Gate! Hakuna kingine.
Boss wake Lameck kila siku anabadilisha tu majina ya timu yake. Sijui kuna biashara gani anaifanya nyuma ya pazia.
Kuna Uzi uliulizwa kama unampango wa kuwa msemaji wa Singida Black star, ulikataa vipi Tena??
Acheni kutumia matusi kwenye page yenuNilikataa kuhusu Ihefu lakini walipobadilisha jina na kunipa ofa nono ofkoz nakataaje tena? Pia project nimeipenda kwa sababu malengo ni makubwa na usajili unaofanyika ni balaa. Subirini tu!
Acheni kutumia matusi kwenye page yenu
Acheni kutumia matusi kwenye page yenu
Ni yenu mna andika Imooo, mara *****Utakuwa umefollow page feki kwetu hakuna matusi ni weledi pekee!
Ndyoo!! Rudi ktk slim modeUnataka nirudi kwenye mwili usio na shukran?
😅😅😅 Ni kubayaNdyoo!! Rudi ktk slim mode
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila laheri chief...
Hongera mkuu
Msemaji wewe ni wa Bukoba??😹😹😹Sikukimbia njaa niliamua tu kutafuta changamoto mpya baada ya kupokea ofa zaidi ya 6.
Aaaah wee rudi ktk hiyo slim mode, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] Ni kubaya