Rasmi: Napiga chini mapenzi

Lakini wajina wako (ISSA/YESU) aturudi kuoa sasa sjui utampinga kwa hoja gani mana yule mwamba anamaswali ya kuchanganya UBONGO.
 
uwezi ikimbia nature
Sio kweli walioikimbia wameikimbiaje?
Kundi la kataa ndoa huwa nawakataa😃😃

ushawahi kuona wapi mpiga nyeto akaoa?🤣🤣
Hahahh kwaiyo unasemaje? Mm mpiga nyeto? Sio kweli kaka one time one time kwani mpaka vyuma vipate kutu one day tunavipaka mafuta tunasigua
Love is Beautful 🥰
Never Trust This shit
kijana ulichokiandika hapa hakiwezekani....
Nunua pampasi jana ulilowesha godoro utaliozesha
akikata atacama upinde🤣🤣🤣 fala sana huyu dogo
Nini wewe ni bless dada yako basi tatizo wachaga kama matrey ya mayai huwezi jua mbele ni wapi
malaya wote hao analilia mapenzi🤣🤣🤣
Mkuu so unanishauri nipite nao tena nazigo la njumu home
dogo jau analetaleta tu nyuzi za kisee... humu kila siku 😂
Au sio nend basi ukasome zenye faida
Binadamu mtakatifu? [emoji848]
Ndio unawaza nini?
analeta nyuzi anazikimbia
Nipo mbona
Watukufu wenzio kina Gwajima na sharif Majin wanalilia teuzi we unalilia uchi.
Hahah tutafika tu wacha wapukutishane nafasi zikibaki tunajaza sisi
umri namba tu, dogo ana matatizo yake binafsi
Sina tatizo binafsi ila moyo niliopewa bure unanitesa sana
 
unamtaka dada yangu kisha unamponda😀 kwa hiyo moyo wako unataka matako makubwa na mbususu mmato?🤣

hela unapata unaenda kubet upate hela ya kuhonga dah
 
Pole mkuu....ni kweli kwenye mapenz hakuna issues kubwa kivileee....lakin love is so sweet....achana na Ile kupigana miti....Yaan namaanisha zile hisia tamu Kwa umpendae
 
Hii kataa ndoa ndoa ni utumwa na maneno mengine ya kipuuzi mnaendeleza mnaona kama ni kuchekesha ila aminini huu ujinga unamaana sana kwa wapbavu na wanamalengo na hii promo yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…