mungu ni mwema atatupigania japo wanasimba wengi tumejawa hofu sanaNi UZUNI KWAKWELI...
bila matokeo ya uwanjani karia hana msaada wowote.Usihofu. Karia na timu yake bado wapo.
hujui mpira, unadhani kuipenda team ni kuitetea tu hata ikifanya vibaya? kuna wakati ukosoaji unahitajika zaidi ajili ya kuijenga na kuiimarisha team.Ligi ikishaaanza rasmi msije anza kulia lia mkamio fc maana kebehi zenu ni mechi moja tu ya kumfunga simba afu ndanda anakubutua CAF umefungashiwa virago huliwazii hilo..? Haki Luc Emely alikua sahihi
Wewe ndio kolo uiiebaki mwenye akili..Naiona Simba inakwenda kuwa kama Africa Lyon.Nimeanza kuingiwa na shaka na huyu mwekezaji.Tabia yake ya kuingilia uhuru wa wachezaji,ubahili,kutokujua jinsi ya kuimarisha brand ya Simba kiasi cha kununua mabasi ya kishamba matatu...
Huna akili chama ameondoka kizembe vipiwakuu salaam,
chama na miqueson walichangia magoli 40+ ambayo ni zaidi ya nusu ya magoal yote tulopata msimu uliopita, leo hawapo na sajili tulizofanya hazioneshi dalili ya kutengeneza walau nusu ya magoal hayo...
Sawa kama mpira ni mechi moja pole sana. Kila.mwaka si mnajitapa afu mwisho wa siku hola. Tujifunze kuweka akiba ya maneno maana ukweli unajulikana mwishoni tena wazi wazi.bila kificho.hujui mpira, unadhani kuipenda team ni kuitetea tu hata ikifanya vibaya? kuna wakati ukosoaji unahitajika zaidi ajili ya kuijenga na kuiimarisha team.
hukumsikia magoli akizungumzia suala la chama au ndo umecomment tujue unajua kuandika?Huna akili chama ameondoka kizembe vipi
Yanga karibia kila msimi zaidi ya nusu ya wachezji wanaondoka na bado huwa wanatufunga, kwahiyo sisis simba wachezaji wawili kuondoka ndio tunaanza kujenga team
mpira sio mechi 1 bt sajili zile sidhani kama watatupa hata nusu ya magoal ya chama na luis, ujue misimu yote yanga walohangaika kuchukua ubingwa ni ajili ya uhaba wa magoal na hili ndo tatizo linalotukabili kwa sasa, tunacheza vizuri sana bt mipango ya magoal ndo haieleweki.Sawa kama mpira ni mechi moja pole sana. Kila.mwaka si mnajitapa afu mwisho wa siku hola. Tujifunze kuweka akiba ya maneno maana ukweli unajulikana mwishoni tena wazi wazi.bila kificho.