Rasmi nawaondoa simba kwenye mbio za ubingwa 2021-2022

Rasmi nawaondoa simba kwenye mbio za ubingwa 2021-2022

Kwani nkuulize swali.. chama ndio alikuwa mfungaji bora au hawakuwepo simba ilipofungwa na yanga mechi zilizotangulia.? Pili hata kina chama na Luis mwanzo mliwabeza mkaja kuwaelewa baadae tulia utajua hujui kunywa mtori nyama utazikuta
Hivi hili tatizo la Simba kufungwa na Yanga hata pale ambapo Yanga ni mbovu kupindukia linamalizwaje Ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom