Rasmi nawaondoa simba kwenye mbio za ubingwa 2021-2022

Kwani nkuulize swali.. chama ndio alikuwa mfungaji bora au hawakuwepo simba ilipofungwa na yanga mechi zilizotangulia.? Pili hata kina chama na Luis mwanzo mliwabeza mkaja kuwaelewa baadae tulia utajua hujui kunywa mtori nyama utazikuta
Hivi hili tatizo la Simba kufungwa na Yanga hata pale ambapo Yanga ni mbovu kupindukia linamalizwaje Ndugu zangu.
 
Hivi hili tatizo la Simba kufungwa na Yanga hata pale ambapo Yanga ni mbovu kupindukia linamalizwaje Ndugu zangu.
Tatzo yanga wanaroga sasa uchawi simba sijui wana kwama.wapi. ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…