Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kwasasa inatakiwa inyonyeshe ila maziwa yamekauka kwa roho mbaya inabidi mtoto anywe maziwa ya kiwandaniHiyo nyumba ndogo ya madelu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa inatakiwa inyonyeshe ila maziwa yamekauka kwa roho mbaya inabidi mtoto anywe maziwa ya kiwandaniHiyo nyumba ndogo ya madelu
Wawaachie wale 11 waliosema hatutokiWaliobaki ni CCM sasa watamwachia nani?
Mpo na nyinyi kina nani? Naona unatafuta basha kwa nguvu. Mi kisamvu cha kopo nishaacha kula.Haya mmeruhusiwa hata hao vilaza wenu wasijua kujaza fomu ruksa! Mpaka kieleweke mlitaka kisingizio tuko na nyinyi tu.
Wafanye haraka kujitoa wapinzani tunatka CCM wapite kwa kishindo ushindi 100%
Maendeleo hyana vyama
Wawaachie wale 11 waliosema hatutoki
Na sasa hii ni nafasi yao kuandikwa kwenye vitabu vya Tamisemi kuwa; Tuipata washindani kwenye uchaguziHao 11 wako wenyewe hawana hata mwenyekiti wa kitongoji hao wanapambania kupata ruzuku tu
Wewe ulifikiri hicho chama kingeweza kushinda hata mtaa mmoja? Vipi mbona hutangazi vile 11 vinavyoshiriki uchaguzi?
Akili yako imejaa mavi tuWajiondoe wote kwani wakijiondoa hatuishi. Tulikuwa na maendeleo wakati wa chama kimoja na upinzani umetuletea vurugu na umaskini tu
State agent
Kumbe.upinzani umewahi kuongoza serikali?Wajiondoe wote kwani wakijiondoa hatuishi. Tulikuwa na maendeleo wakati wa chama kimoja na upinzani umetuletea vurugu na umaskini tu
State agent
Wewe ni Nani kwake?Mbatie amepotoshwa na kina Mbowe
Tumempuuza rasmi sasa
Hongera sana Mh. Mbatia na Kamati kuu ya NCCR kwa uamuzi wa KidemokrasiaChama cha NCCR-Mageuzi kimetangaza kujitoa kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24. Msimamo huo umetolewa leo na Mwenyekiti James Mbatia jijini Dodoma.
Umemsikia Waziri Jaffo au unaropoka tuWajiondoe wote kwani wakijiondoa hatuishi. Tulikuwa na maendeleo wakati wa chama kimoja na upinzani umetuletea vurugu na umaskini tu
State agent
Wewe ulifikiri hicho chama kingeweza kushinda hata mtaa mmoja? Vipi mbona hutangazi vile 11 vinavyoshiriki uchaguzi?
Shikilia hapo hapo wasilegeze!!!!!Wameshikwa pabaya mno !
Yale makosa ya ujazaji wa fomu yamefutika ?Haya mmeruhusiwa hata hao vilaza wenu wasijua kujaza fomu ruksa! Mpaka kieleweke mlitaka kisingizio tuko na nyinyi tu.
Kama mna mamlaka ya kuwafuta kwakuwa wamekosea kujaza fomu,. Mna mamlaka ya kuwarejesha baada ya kulia Sana.Wamelia sana tukawasamehe. Mungu alishasema samehe 70 x 70 mkuu!