Rasmi, Nigeria yatangaza kuuza mafuta yake kwa kutumia sarafu yake ya Naira badala ya Dola Marekani

Sasa kama Russia kaweza kwanini sisi tusiweze ni swala la muda TU madhari lonauwezekano wa kufanyika litafanyika TU hata kama litachukua muda kiasi gani. Pili ni china nae kafanya hvy

Mkuu jana hapa China ametoa misaada ya mitungi ya kupikia 800 kwa Tanzania.

Yaani kama mitungi ya gesi tu tunasaidiwa what makes you think we can get rid of the dollar?
 

Mkuu kwenye ukweli tuseme.

Nigeria inaitegemea Marekani vibaya sana. Mwaka 2022 walipokea karibu 1,2 Billion USD from US kama grants and aid.

Hivi unadhani nchi inayokusaidia hivyo inaweza kukubali usitumie currency yake?

Watu hawasemi kwamba Nigeria imekosea kwa uamuzi wao but REALISTICALLY haiwezekani.

Na huo ndio ukweriiiiiiiii
 
Kikubwa Dola Moja ni naira ngapi

au ,naira Moja sawa na TSH ngapi haikijaathirika kitu
 
Ka move on su kabanwa?

Akilegezewa vikwazo anarufi mbio.

Mfungwa kukwambia tuliisha zoea na kufurahia maisha gerezani haimaanishi hapendi uhuru.
Inamaanisha ka adopt hali anayolazimishwa kuiishi.
Tatizo unafikiria Russia ni Zimbabwe. 2 years hawatumii dollar + 17,000 economic sanctions lakini uchumi wao bado unakua. Iran hatumii $ na ana vikwazo, niambie kuna nchi Africa ya kushindana nayo kiuchumi?.

Wenzetu wana watu wenye IQ kubwa za kuongoza nchi, sio kama kwetu huku kila kitu uchawa $ imefika 2,800.
 
Umejibu vema, lakini hapo kwa mchina umepuyanga. Sahivi unaweza kulipia Tshs to Yuan, hata gari kwasasa sio lazima ulipie kwa $, ukitaka kwa japanese Yen unalipia fresh kabisa.

Dunia inaenda kubadilika chief, Dunia haitabaki kama zamani.
 
hoja ya nigeria ni ukusanyaj wa fedha za kigeni ili kupata wepesi kufanya transactionna sio kukimbia dola...moja yafaida ni kukuuwa kwa pesa yaoambpo kawaida uchumi unakuwa,,pia uagizaj wa bidhaa kutoka nje utakuwa ni mwepesi.
 
Wabungo wana mahaba sana na usa huwaambii kitu utasikia ni mamtoni huko juu na humemwewbii kitu kuhusu usa
 
Sio kujitekenya hiyo hatua itapandisha thamani ya Naira

Nenda hapo Afrika kusini tu dolla huwa hawataki wanataka ununue bidhaa zao kwa Rand

Unanunua Rand kwa dola ndio ununue bidhaa zao kwa Rand
Wewe ndio bonge la ignorant, unafahamu wakati wa utawala wa makaburu dola moja ilikuwa sawa na rand ngapi na leo wanapotawala hao waswahili exchange rate ikoje.

Angalia Russia toka aondolewe kwenye SWIFT thamani ya sarafu yake imekuwaje. Ikitokea upungufu wa dola unajua nchi zinavyohangaika kulipia madeni yao au hujui.
 
Hata uelewi chochote kuhusu hizo nchi. wale ni wazalshaji wakubwa wa mafuta duniani. Urusi ina reserve kubwa sana ya Dollar, na hata Iran unadhani mafuta wanauza kwa madafu?
Angalia Ruble exchange rate yao, unadhani nani atakaa na makaratasi yale.
Nyie ndio washangiliaji hata kama timu inafungwa.
 
Kama kawaida ya akili ya Africans iliyojaa mavi , sasa wamempa Dangote sole exclusive rights ya kuuza jet fuel full 💯 monopoly, mbwa sana hawa wanajimaliza kwa ujinga tuu☹️
 
Sio kujitekenya hiyo hatua itapandisha thamani ya Naira

Nenda hapo Afrika kusini tu dolla huwa hawataki wanataka ununue bidhaa zao kwa Rand

Unanunua Rand kwa dola ndio ununue bidhaa zao kwa Rand
Kwanini tusinunue Rand kwa Tsh wakati Africa Kusini ni ndugu zetu na tuliwasaidia katika harakati za ukombozi?!
 
Wewe unabishana na Nanani?Wao ndo wameona hivo marekani anafanya biashara ya Dora nchi nyingi zimeshituka walianza European union na wengine watafuata
 
Wewe unabishana na Nanani?Wao ndo wameona hivo marekani anafanya biashara ya Dora nchi nyingi zimeshituka walianza European union na wengine watafuata

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…