Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
- Thread starter
- #61
Sasa kama Russia kaweza kwanini sisi tusiweze ni swala la muda TU madhari lonauwezekano wa kufanyika litafanyika TU hata kama litachukua muda kiasi gani. Pili ni china nae kafanya hvy
Mkuu jana hapa China ametoa misaada ya mitungi ya kupikia 800 kwa Tanzania.
Yaani kama mitungi ya gesi tu tunasaidiwa what makes you think we can get rid of the dollar?