Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza ,sasa ni Rasmi mimi zero Iq nimeamua kufuta Twitter(X),Instagram,tik tok pamoja na facebook kwenye simu na kuamua kubaki na Jamii Forum kama ndio Main social network kwangu ,
Mitandao hiyo mingine naona sasa wanacheza na hela yangu ,Kila upande Kuna Reals za mademu wakali wakitwerk with big ass.
Siyo ass tu ni big ass, big nyash Kiasi kwamba Zero nashindwa kutuliza pochi Nene Kiasi sasa nimefika hatua ya kutaka kufunga kiwanda changu Cha kuchakata viazi kuwa chipsi,
TikTok, Instagram, Twitter(X), Facebook kwa sasa kwangu ni marufuku,Yaani ni Marufuku kabisa.
Jamii forum idumu na iendelee kudumu daima .
Cc zero iq
Mitandao hiyo mingine naona sasa wanacheza na hela yangu ,Kila upande Kuna Reals za mademu wakali wakitwerk with big ass.
Siyo ass tu ni big ass, big nyash Kiasi kwamba Zero nashindwa kutuliza pochi Nene Kiasi sasa nimefika hatua ya kutaka kufunga kiwanda changu Cha kuchakata viazi kuwa chipsi,
TikTok, Instagram, Twitter(X), Facebook kwa sasa kwangu ni marufuku,Yaani ni Marufuku kabisa.
Jamii forum idumu na iendelee kudumu daima .
Cc zero iq