Mkuu ni VXR auKutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Kwanini usiiuze ukawajengee wazazi choo cha kisasa?Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Leta tuibadili itumie baby care kopo dogo la jeroKutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Watu wazushi tu. Ukute hana hata ka Passo. Yani difference ya shilingi 15 unapaki gari. Shilingi 15 huna chochote unaweza kununua kati mchi hii tangu enzi za Mwinyi.Sisi wenye pkpk hatuhusiki. Ukiweka full tank kwa nyumban, kanisani, sokoni na kazini miez 4 sijafika sheli
😳😳😳 Jamii forum ya sasaivi imekuwa ya mipasho sanaKwanini usiiuze ukawajengee wazazi choo cha kisasa?
Pamoja na mafuta kupanda lakini foleni zipo palepale,ukienda bandarini kila siku meli zinaingiza magari,Mpaka Izraili mtoa roho atufikie atatukuta tumechoka sana huenda akatusahau jinsi atakavyotukutaKutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Ya zamani ilikuwa mwaka gani na ilikuwa ya nini?😳😳😳 Jamii forum ya sasaivi imekuwa ya mipasho sana
Ya zamani ilikuwa konki sana huwezi kukuta upuuzi kama huo ulioandika weweYa zamani ilikuwa mwaka gani na ilikuwa ya nini?
Na mimi na wewe nani ni mkongwe?Ya zamani ilikuwa konki sana huwezi kukuta upuuzi kama huo ulioandika wewe
miaka 5 nyuma,Na mimi na wewe nani ni mkongwe?
Usisahau bado hujajibu swali,,, ya zamani ni mwaka gani?
Rekebisha kichwa cha habari. Kwani hizo ubber na daladala utazopanda siyo magari?Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Haya ndio Maamuzi Magumu ya Kiume. Wabongo wengi Hali ni Tete wanakufa na Tai ShingoniKutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Kwa hiyo Tabata ndio Watu wanakula Bata Sio? 🤣🤣Hali ya uchumi ni kwako tu mkuu ,watu wanakula bata za hatari ,zunguka maeneo kila baada ya hatua 50 kuna mtu anaporomosha mansion.
Pitia Tabata baracuda ,40-40 mida ya usiku moja mbili tatu uone watu wanavyokula bata.
wilaya jirani na burundi, rwandaMikoani liter hadi 2600 na point???View attachment 2029778
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi taratibu inafunguka.. Jiwe aliibana sana hii nchi ona mama anavyoupiga mwingi... Jaman tuendelee kumuunga mkono mama hakika ametuokoa toka kwenye makucha ya Simba.
Sasa wakifanya kile kipimo chao cha kupima furaha kwa wananchi watapata 90% wana furaha tena iliyopitiliza tena hasa raia wa hapo Dar.
Asante mama, endelea kufungua nchi, tulibanwa sana, yaan kipindi cha Jiwe vyuma vilikaza sana kwa sasa twakushukuru mama.
Kazi iendelee!!!!