Rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari

Rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari

Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Mkuu ni VXR au
 
Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Kwanini usiiuze ukawajengee wazazi choo cha kisasa?
 
Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Leta tuibadili itumie baby care kopo dogo la jero
 
Sisi wenye pkpk hatuhusiki. Ukiweka full tank kwa nyumban, kanisani, sokoni na kazini miez 4 sijafika sheli
Watu wazushi tu. Ukute hana hata ka Passo. Yani difference ya shilingi 15 unapaki gari. Shilingi 15 huna chochote unaweza kununua kati mchi hii tangu enzi za Mwinyi.

Ila kama ni kweli bora apaki tuondoe foleni barabarani... maana hivi vi IST vina fujo sana rodini
 
Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Pamoja na mafuta kupanda lakini foleni zipo palepale,ukienda bandarini kila siku meli zinaingiza magari,Mpaka Izraili mtoa roho atufikie atatukuta tumechoka sana huenda akatusahau jinsi atakavyotukuta
 
Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Rekebisha kichwa cha habari. Kwani hizo ubber na daladala utazopanda siyo magari?
 
Kutokana na hali ya uchumi mafuta yamepanda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari labda ubber daladala na bodaboda.
Haya ndio Maamuzi Magumu ya Kiume. Wabongo wengi Hali ni Tete wanakufa na Tai Shingoni
 
Hali ya uchumi ni kwako tu mkuu ,watu wanakula bata za hatari ,zunguka maeneo kila baada ya hatua 50 kuna mtu anaporomosha mansion.

Pitia Tabata baracuda ,40-40 mida ya usiku moja mbili tatu uone watu wanavyokula bata.
Kwa hiyo Tabata ndio Watu wanakula Bata Sio? 🤣🤣
 
Tuwe wavumulivu,mambo mazuri yanakuja... Mama anaumiza kichwa...
283ce88b9f7a9c3b5ee48607f2d65818.jpeg
 
Nchi taratibu inafunguka.. Jiwe aliibana sana hii nchi ona mama anavyoupiga mwingi... Jaman tuendelee kumuunga mkono mama hakika ametuokoa toka kwenye makucha ya Simba.

Sasa wakifanya kile kipimo chao cha kupima furaha kwa wananchi watapata 90% wana furaha tena iliyopitiliza tena hasa raia wa hapo Dar.

Asante mama, endelea kufungua nchi, tulibanwa sana, yaan kipindi cha Jiwe vyuma vilikaza sana kwa sasa twakushukuru mama.

Kazi iendelee!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom