Rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari

Tofauti yake hapo ni kwamba watu wa michongo ndio wana furaha sahivi! Wale wa hali ya chini hawana amani wala furaha tena sababu maisha yamekuwa magumu mara 100 zaidi ya hali ilivyokuwa kipindi cha Mwendazake.

Wenye michogo ni full raha sababu hamna kufuatiliana sahizi wanajipigia mipunga tu na wafanyabiashara wanajipangia mabei watakavyo!
 
Nchi imekua Kama shamba la shule enzi hizo kijijini.
Ukiwa mtoto wa mwalimu linakua Kama lenu lkn wakati wa kulima watoto wa walimu tuna vijikazi vidogo vidogo kwenye kivuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…