RASMI Ronaldo ahamia Juventus Turin

ufalme kwa kigezo kipi sasa, ronaldo ana EURO messi hata copa america hajawahi hata kutwaa bado unasema huyu ni mfalme.

Mimi na wewe hatukumpa hicho cheo, wanaojuwa mpira zaidi yetu na mashabiki kote duniani na hata mashabiki wa ronaldo ndiyo wanamkubali na wanatambua kuwa huyu ni mfalme..sasa mimi na wewe wapi na wapi kiongozi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ sisi acha twendelee kunywa kahawa siku imepita
 

Alafu pale kuna majembe zaidi yake sasa tim kama timu itaachaje kuchukua makombe ya ndani! Kuna magician dybala pale atakuwa anamtengenezea tu anafunga..
 
hakuna ulilojibu hapa, wanaojua mpira hawampi mtu cheo kwa porojo bali mafanikio kutoka klabu mpaka timu ya taifa,
 
hakuna ulilojibu hapa, wanaojua mpira hawampi mtu cheo kwa porojo bali mafanikio kutoka klabu mpaka timu ya taifa,

Nakuambia hivi mimi na wewe hatujui mpira...so tuwaachie wataalam wenye mpira wao...wao ndiyo wameamua iwe hivyo sembuse wewe member wa Jf unapinga πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ vibaya hivyo mkuu, hata kama ni chuki lakini usipelekee kuuukataa ufalme wake...

  1. Messi
  2. Diego
  3. Puskas,Pele and Alfredo de stefano
  4. Cr7
  5. Zidane
 
Hapana mkuu..nikweli Messi yupo club kubwa duniani, so hawezi kwenda ligi yenye hadhi ndogo kama italy, na hata epl pia hakuna club yenye hadhi kwake. Ni hivyo katibu mkoa....
Tunachotaka atuthibitishie kama kweli kiwango ni chake au ni cha barca

Hata ivo alishakiri bila barca asingekua hapo alipo
 
Wanaojua mpira huwapa ufalme wachezaji kwa mafanikio ya timu toka klabu mpaka timu ya taifa kitu ambacho mfalme wako hama kiasi cha kwamba alitaka kukimbia timu ya taifa.
1. Pele
2. Zidane
3. Maradona
4. Ronaldo
5. Messi
#takwimu_zinaongea
 
fala
 
Ulitaka aje kuchezea jangwani?
 
Alafu pale kuna majembe zaidi yake sasa tim kama timu itaachaje kuchukua makombe ya ndani! Kuna magician dybala pale atakuwa anamtengenezea tu anafunga..

shabiki mavi ndiyo wewe sasa ,yaani paul dybala ni zaidi ya Ronaldo hebu kuwa serious bhasi ili tukutofautishe na nguruwe
BlackPanther
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…