Tetesi: RASMI SASA: Alshabab sio kundi la Magaidi - UN Security Council

Mafuta ya Somalia.
Mamarekani wameikalia sehemu kubwa ya Somalia hivi sasa.
Wana vikosi vikubwa vya kijeshi (special forces regiments) huko
Na ndio sababu kubwa ya bif ya mpaka wa eneo la bahari kati ya Kenya na Somalia.
Hivi karibuni mambo yote yatakuwa hadharani
 
Basi mbna magu ywaongea zezezeee km hajopendekezi kw wazungu...

Kingereza ni lugha ya kimataifa..mkubali mkatae lazima mtaongea tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama umeumwa na kingereza vumilia tu
 
Basi mbna magu ywaongea zezezeee km hajopendekezi kw wazungu...

Kingereza ni lugha ya kimataifa..mkubali mkatae lazima mtaongea tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama umeumwa na kingereza vumilia tu
Acha kutoka mwenye mada, somo husika ni wazungu kuwageuka wakenya katika vita dhidi ya Alshabaab.
 
Basi mbna magu ywaongea zezezeee km hajopendekezi kw wazungu...

Kingereza ni lugha ya kimataifa..mkubali mkatae lazima mtaongea tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama umeumwa na kingereza vumilia tu
Magu huongea hyo lugha ktk baadhi ya sehem tu.
Ila popote aendapo ni kutandika kiswahili tu.
Kuitumia lugha sio tatzo, tatzo nyie jiran zetu mwaitukuza sanaaa na kuwatukuza wazungu .
I wonder ht yule Yesu fake kwann alikuja Kenya na sio Tz.
Huwenda walishajua Kenya is the whites' praising country.
Ndio maana wakaja kuwafanyia wajinga waliwao.
 
Acheni ushabik ambao hauna faida. Kwanza kabisa vikosi vya Kenya viliingia Somalia bila uungwaji mkono wa US na nchi za magharibi. Pili, mandate ya KDF kule Somalia ipo chini ya AMISOM ambayo ni official mission ya AU ndani ya Somalia. Waafrika tuna matatizo, watu wanashabikia maamuzi ambayo yanakinzana na msimamo wa AU. Kwa chuki zao wanaiangazia macho nchi ya Kenya, basi. Kauli kama hizi zinajaribu kuharamisha shughuli za nchi kadhaa ambazo zina vikosi vya kijeshi Somalia.
 
I agree, Its time we took a stand, if they can turn against us at such a time of need yet Kenyans have suffered so heavily under terror attacks starting from 1998 where Kenyans died for something we did not even know..

But we should not stop our goal of creating a buffer zone in Jubaland , that way we can at least be guaranteed of our security.

I think Kenya govt should change their tactics in Somalia, now that Al-Shabab is not a terror organisation.
 
We should not look back, focus on our interests without caring what these foreign states want
 
If alshabaab is declared a terrorist org.UN Funded NGO’s would incur costs of providing private security to its workers in Somalia. The UNSC would also be obligated to deploy peacekeepers to conflict zones where these NGO’s are operating in Somalia.
. The Americans who rallied behind these non-governmental organizations would lose billions of dollars of funding .Maybe it's inline with Trump's 'America first 'policy.Thats why they don't want to waste resources in somalia.
 
Hivi ugaidi ni nini?, Unatakiwa ufanye nini ili uitwe gaidi?.

All shabab wamewahi kukiri kuhusika na mashambulizi ya 'kigaidi' kadhaa kama vile lile la uganda wakati wa kombe la dunia na kuua watu zaidi ya 60, garrisa university, Westgate n.k. je hayo hayatoshi kuwaweka katika kundi la magaidi?
 
Didn't you know all these before?, why you decided to push on, only to end up with terrible humiliation?.
 
kikuyu is the most intellegenceπŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› :O:O:-/x-(😡:-D:-C:-D /we are above whitemen.
 
Akili kubwa Uhuru Kenyatta ameshindwa kuwa shawishi marekani, Uingereza na ufaransa kwamba Alshababu ni magaidi?
Yaani jambo la wazi hivi pia ni shida kwa "akili kubwa"?
Hivi hizi safari zote ulaya kunyenyekea beberu hamna hata matunda kidogo tu ya wao kukubali Alshabab ni Gaidi?
Akili ama kamasi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bwahahaaaa!!!mbna basi huaga wanawalepua km sio magaidi...si juzi tu waliwadungua jamaa wakafa...au umesahau
Acha kutoka mwenye mada, somo husika ni wazungu kuwageuka wakenya katika vita dhidi ya Alshabaab.
 
Kuna Sheria yoyote ya UN ambayo Kenya ilifwatilizia kuingia Somalia? Hakuna.

Alashabaab ilikua designated kama terror group na UN miaka hii yote? Hapana!

Licha ya hivyo, Kuna lolote limezuia Kenya kama sovereign country kuamua kwamba alashabaab ni terror group? Hakuna!

Je, Kenya hua inafwata Sheria za UN za ku treat Somalia kama civil conflict? Hapana, Kenya ina treat vita vya Somalia kama anti-terror war.
 
Kama hujaelewa lugha wanayo tumia wamagharibi tena hasa USA utapata tabu sana kuumizi kichwa na utashangaa mbona hawa watu wasomi sana lakini kitu wanachokifanya hata mtu alieishia la saba afanyi ?.ngoja nikunong'oneze: kwanza kabisa ukiangalia UN vizur ilianzishwa kwa faida ya wamagharibi tu ,ila under cover ndio inaonekana kama vile chombo cha dunia nzima. Kile ni chombo chao cha kupitishia maazimio yao kwa maslai yao, na ukiangalia tena vizur unakuja kuona UN ni USA kwasababu kuna mda mwengine UN haiweki vikwazo anaweka US pekeyake vya upande mmoja mbona UN haina nguvu ya kuvidhoofisha kwasababu vya upande mmoja?. Napia UN ikiweka vikwazo UN anakua mtoa amli tu ila mtekelezaji wa vikwazo vya UN ni US . Sasa USA ukifanya kitu kina maslai kwake anfaidika na wewe basi hapo unakuwa unauwezo hata wa kuua shule nzima na wala sio gaidi. Neno gaidi kwa wamagharibi ni MPINGAJI WA MASLAI YAO tofauti unavyo elewa ww gaidi ni kuua raia wasio na hatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…