Tetesi: RASMI SASA: Alshabab sio kundi la Magaidi - UN Security Council

👏👏👏👏👏👏👏
 
Kafrican Najua unamajonzi tele vizuri tu usijaribu kuyaficha na vijisababu vya hovyo.
Kama hakuna Msingi wowote wa kenya kuwasihi Marekani na UNSC ku watambua Al shabab kama magaidi..Basi kwa nini wakatumia hii nguvu yote ya kidiplomasia hali na mali kujaribu kuwashawishi?
Soma taarifa vizuri taarifa ujue sasa kama Shababu sio magaidi Kuna vikwazo fulani za kivita na pia vikwazo za kifedha
 
Bwahahaaaa!!!mbna basi huaga wanawalepua km sio magaidi...si juzi tu waliwadungua jamaa wakafa...au umesahau
Hilo ndio jambo la kushangaza, kwanini Kenya ikiomba kitu chenye maslahi kwa Kenya, wazungu wanakataa?, kuna kila dalili kwamba Kenya imepoteza mvuto kwa wazungu, Djibouti ndiye mpendwa kwa sasa, Kenya ni bibi kizee.

Wazungu waliitumia Kenya kwa miaka mingi kwa ajili ya maslahi yao, sasa hivi hawana shida na Kenya tena, wameanza kuwafanyia vituko Vingi, poleni sana.
 
Sasa mbona mnapoteza nguvu nyingi kuomba UN iliweke kundi la Alshabaab katika orodha ya makundi ya kigaidi kama hakuna umuhimu kwa Kenya?, au ndio muendelezo wa Kenya wa kuamua mambo kwa kukurupuka bila kujiandaa kama mlivyojipeleka Somalia kichwa kichwa?
 
Nadhani hii habari siyo mbaya kwa wenzetu Kenya tu, bali kwa Africa kwa ujumla na hasa Tanzania.

Al-shabab kutokuwa kwenye terrorist group ina maana hawana restrictions ya movement. Nikimaanisha wana intelligence hawata lazika kutoa report za kiusalama pale members wa Al-shabab wanapoingia nchi kama Tanzania, Ethiopia na hata Kenya.

Kwa maana hiyo, wanaweza ingia Tanzania au Kenya na kufanya tukio na hatutoweza laumu nchi yoyote kwa kuto share information za kiusalama. Maana tunajua watu kama Marekani wana technology kubwa zaidi ya kuwafuatilia. Hapo watakuwa wamejivua lawama.

They are playing a long game.

Naona kwa mbali kuwa haya ni maandalizi ya uchaguzi 2020. Tanzania tukimaliza uchaguzi salama 2020 basi hatutokuwa na machafuko milele.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Sasa bro ndo hivyo hawa jamaa wanawazunguka watu wanacho ongea sio ndio wanachoamanisha na ndio maana unaona mpaka leo utawala wa Saudi upo lakini ingekuwa hana maslai na wamagharibi saa hizi kashaambiwa maneno meengi kama vile Saudia ni gaidi mkuu , saudia kachupa mipaka , Saudia janga la ulimwengu na mengine mengi
 
Kuna baadhi ya Wakenya humu bado wanatetea Marekani kwa kitendo hichi cha kusema Shabab sio gaidi. Hawa Wakenya uzalendo wao uko wapi? Ama pengine wanadhani wazungu wako always right Waafrika wako always wrong which is a sign of inferiority complex on their part. Wakenya wanastahili kujua America ni mashetani wakubwa. Ndio maana nilishangaa Mkenya fulani mjinga akisherehekea kuwa Marekani wanapanua kambi yao ya kijeshi hapa Kenya. Ninarudia ningekuwa rais wa Kenya ningewafurusha Kenya. Waende w*tombane na Al shabab huko. Hamna haja ya majeshi ya Marekani kupiga kambi Kenya eti wanapigana na ugaidi ilhali wanasema eti hakuna ugaidi Somalia. Kwani wanapigana na nini, upepo?
 
I don't understand the intent or the purpose of this comment.
 
Umeanza kuwafahamu vizuri wenzako walivyo. 98% ya wakenya wapo hivyo, huwa tunawashangaa sana wanapojenga hoja zao. Matatizo makubwa yanayoikumba Kenya ya kiuchumi na kijamii yanatoka na uwezo mdogo wa wakenya wa kufikiria.
 
Kuna jamaa nimeona anauliza huko facebook "kama alshabab si magaidi basi ni kwaya/choir ama?", this is a backstab from the West, we shall never forget.
 
[emoji122] [emoji122] Kongole mkuu unaona mbali sana.
 
BRO UNAJUA UNANIFURAHISHA NA POINT ZAKO??!!!!!
YOU ARE TOO BRILLIANT NO ANY OF YOUR POINTS I CRASHED YET.
UMEONGEA UKWELI MTUPU.
SIO KENYA TU PANDE ZOTE AFRICA INAFAA ITAMBUA HAWA IMPERIALISTS SIO WEMA KWETU.
 
Mi nadhani bro itakua hao wakenya wenye hali hiyo wanadhan haiwezekan mzungu akaongea kitu kisichokua chamaa vyoote wanaoongea wazungu ni sawa tu kwasababu kaongea mzungu ndio sababu inapelekea kua na mawazo mgando .kama kweli mtu unatumia ubongo wako kwanini kinaundwa kikundi cha kijeshi kwenda kupapana na magaidi halafu unaambiwa eti ulinde amani usipambane nao magaidi sasa haya si maaigizo haya unashika bunduki ina maana gani sasa? , sasa kwa hili utasema wazungu wana akili kwa wanachokiubiri kweli maana wanaubiri amani lakini wanazuia magaidi usipambane nao lengo kuu ili wasiishe ,wakiisha wao watakua hawana umuhimu wa kubakia Afrika ndio maana miaka yote utaona kikundi kidogo tu eti kinaisumbua serikali kama vile Burundi kule au Congo hadi leo . sasa Nchi yeyote itakayoikalibisha Us kijeshi basi wajiandae kupoteza amani maana bila machafuko mwanajeshi wa marekani atafanya nini kwenye Nchi husika itam bidi aondoke ili wasiondoke lazima wataanzisha vikindi vya kigaidi kwa siri au kuchonganisha majirani ili serikali izidi kuwakumbatia kwa kutegemea msaada .Sasa kwa wale ambao walikua na mawazo ya kitumwa kabla hawajaumbwa ndio utaona wanatamba na kujinasibu [ KAMBI KUBWA YA KIJESHI YA JESHI LA MAREKANI IPO NCHINI MWETU KTK AFRICA MASHARIKI ]. HAHAHAHAHA nawaonea huruma sana, neno NINGEJUA sikuzote uja mwisho wa safari.
 
Kuna jamaa nimeona anauliza huko facebook "kama alshabab si magaidi basi ni kwaya/choir ama?", this is a backstab from the West, we shall never forget.
Marekani wakija Kenya huwa wanasema eti wanafunza majeshi yetu jinsi ya kupambana na magaidi. Eti wanatuuzia silaha za kupigana na magaidi. Hao magaidi ni wagani maana kulingana na Marekani hapa Afrika Mashariki hakuna magaidi.
 
Na pia ktk vile vikosi vilivyokua Kule kongo wawalinde tu Raia wasipambane na magaidi huku wakiuza silaha pia swali ndo bado hilohilo silaha za kupambana na nani na lingo la kuzuia wasipigwe wanajua kabisa magaidi wataisha
Marekani wakija Kenya huwa wanasema eti wanafunza majeshi yetu jinsi ya kupambana na magaidi. Eti wanatuuzia silaha za kupigana na magaidi. Hao magaidi ni wagani maana kulingana na Marekani hapa Afrika Mashariki hakuna magaidi.
 
Marekani wakija Kenya huwa wanasema eti wanafunza majeshi yetu jinsi ya kupambana na magaidi. Eti wanatuuzia silaha za kupigana na magaidi. Hao magaidi ni wagani maana kulingana na Marekani hapa Afrika Mashariki hakuna magaidi.
Marekani hana permanent friend or enemy bali PERMANENT INTERESTS..

Hiyo UN yenyewe ina nchi zenye VETO POWER ikiongozwa na mmarekani na mchina, hizi nchi ndio huchangia operations za UN kwa kiasi kikubwa na hii ndio inawapa control ya organization nzima.

Muafrika ukinusa pua yako kibiashara north Korea Ni lazma uwajibishwe ila mchina anaenda tu. Ikimaanisha UN haipo huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…