Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Ps ni 50 tu usisahau ,usije ukachoma accnt ww si unasema forex ni betting,nakuonesha sasa,nataka utrde tufike pamoja jero,jero ni milioni 1.2πŸ˜›

sasa kwan kuna shida gan forex ikiwa betting, ni betting ndio kuna tatizo πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ? tatizo lenu vijana mna ujuaji wa kishamba umejua forex juzi kelele nyingi, yaaani inapoanzia hujui ila ujuaji mwingi, yaani unabishana mpaka na GPT4 , google, maaana yake we ndo una akili kuliko watu wote duniani
 
Mbana unajichanganya nani kakwambia hawana akili.
Mm nafanya kazi KWA malengo.
Kazi ninayoifanya ni my professional na nimeisomea chuo so naipenda.
Kutrade hakuusiani na kazi yangu

all in all punguza ujuaji wa kishamba
 
I believe you.
 
sold false dream πŸ˜‚
Other factors constant, wewe upo kwenye nadharia yeye yuko kwenye matendo. So, kama anachosema ni kweli kutokana na kuwa anatenda, nitakuwa upande wake. It doesn't matter whether or not forex is betting. It is just a name. Doesn't change the reality on the field
 

ningekua npo kwenye nadharia nisingekua najua haya mambo yote, tatizo kubwa lilopo ni forex is a sold false dream! at the end ukweli unatakiwa kusemwa usipouchukua no one cares issue ni ukwel usemwe, na evidence ziwekwe ili kuokoa watu wengi kwan hawa vijana wanawapiga ela watu ambao hawana ujuzi
 
achana na mambo ya youtube tafuta strategy moja komaa nayo ukilala, ukiamka, ukila, ukiwa chooni, ukiwa unaoga, ukiwa kwenye show ijue strategy yako kama unavyokijua kiganja chako halafu maliza na risk management
Nipe strategy moja nikomae nayo mkuu
 
soma balance na tar kabisa mpuuzi ww ,afu nimeingiza dola 55 ndani ya dk tatu unajua sh ngapi karibu laki na 20 ndani ya dk 3
 
alafu simu inatakiwa kua na line moja
soma balance b4 na after naipeleka hii account dollar 500 ,tukutane Saa 3 kamili usiku ,kuna mke wangu interest rate decision naenda kumtoa bikraπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›,
Hujawai kuingiza laki ndani ya dk 3,ukiwa umekaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…