stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Hahahaha am fundamental trader by the way,nipo kwa ajiri ya kukufumba mdomo,afu naweza kukugaika ka laki mwisho wa wiki uache uchawa
aya tupe mrejesho wa position yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha am fundamental trader by the way,nipo kwa ajiri ya kukufumba mdomo,afu naweza kukugaika ka laki mwisho wa wiki uache uchawa
Well noted.Ikiwa unataka kufikia lengo, fungua akaunt kadhaa.
Kati ya hizo 2 ziwe za lot size kubwa yaani ku risk.
Zingingine zingatia RM.
Mimi nina akaunti kubwa 2 kati ya hizo moja sifuati Risk management, hiyo nikiirusha unaweza kufikiri ni demo[emoji28]
Nyingine kubwa nafuata RM 100%
Hii naitumia kufundishia wanafunzi kuzingatia RM.
Nina akaunti ndogo ndogo 4 hizi
1. Moja ya kuninunulia diesel mjini
Zingine za matumizi ya hapa na pale.
Katika forex malengo muhimu
kabisa mzee..Nitakuwa scalper na day trader siku zote.
Huko ndiko pesa ilipo
Hawa majambazi mnoo hawaheshimu hata buy/sell stop, wanasogeza wazi waziHawa Deriv niliskiaga wanafanya market manipulation au sio hawa ? nimeuliza kwa nia nzuri tu.
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
Uko sahihi kabisa mzee, ni bora hata exness.Hawa majambazi mnoo hawaheshimu hata buy/sell stop, wanasogeza wazi wazi
Exness ni wazuri ila sometime upande wa mobile payment wanakuaga na changamoto. withdrawal delay zinakuaga nyingi sana..Hawa majambazi mnoo hawaheshimu hata buy/sell stop, wanasogeza wazi wazi
View attachment 2755564soma balance na tar kabisa mpuuzi ww ,afu nimeingiza dola 55 ndani ya dk tatu unajua sh ngapi karibu laki na 20 ndani ya dk 3
Pole na safari ya ujinga Mkuu
Sababu hiyo biashara ya Forex ina ujinga mwingi sana, aliyetoka kauchoka. Tunampa pole na hongera.kwann umesema ivi mkuu
View attachment 2755568View attachment 2755570soma balance b4 na after naipeleka hii account dollar 500 ,tukutane Saa 3 kamili usiku ,kuna mke wangu interest rate decision naenda kumtoa bikra😛😛😛😛,
Hujawai kuingiza laki ndani ya dk 3,ukiwa umekaah
Hivi ni muda gani unaweza ukajua huu muda sasa news imekaribia uingie sokoni na je news zinakuwepo kila siku????View attachment 2755564soma balance na tar kabisa mpuuzi ww ,afu nimeingiza dola 55 ndani ya dk tatu unajua sh ngapi karibu laki na 20 ndani ya dk 3
Sababu hiyo biashara ya Forex ina ujinga mwingi sana, aliyetoka kauchoka. Tunampa pole na hongera.
Hivi ni muda gani unaweza ukajua huu muda sasa news imekaribia uingie sokoni na je news zinakuwepo kila siku????
View attachment 2755568View attachment 2755570soma balance b4 na after naipeleka hii account dollar 500 ,tukutane Saa 3 kamili usiku ,kuna mke wangu interest rate decision naenda kumtoa bikra😛😛😛😛,
Hujawai kuingiza laki ndani ya dk 3,ukiwa umekaa
😂 😂 😂Nina account ina balance ya mara mia mbili ya balance ya account ya jana jana kilichopotea
Ni 1/200😛😛😛
Ni micro sasa ,hata hakiniumi na hata hvyo mm sito technical mm ni fundamental
Sababu hiyo biashara ya Forex ina ujinga mwingi sana, aliyetoka kauchoka. Tunampa pole na hongera.
tigo airtel tanzania 😂View attachment 2755568View attachment 2755570soma balance b4 na after naipeleka hii account dollar 500 ,tukutane Saa 3 kamili usiku ,kuna mke wangu interest rate decision naenda kumtoa bikra😛😛😛😛,
Hujawai kuingiza laki ndani ya dk 3,ukiwa umekaa
Hahahaha am fundamental trader by the way,nipo kwa ajiri ya kukufumba mdomo,afu naweza kukugaika ka laki mwisho wa wiki uache uchawa