Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Hahahaha am fundamental trader by the way,nipo kwa ajiri ya kukufumba mdomo,afu naweza kukugaika ka laki mwisho wa wiki uache uchawa

aya tupe mrejesho wa position yako
 
Well noted.
 

View: https://youtu.be/w6JXZ3GzSCQ
 
Mkuu samahani nje ya mada lakini kujibandika id kama yako ni kujitia nuksi.
 

View attachment 2755564soma balance na tar kabisa mpuuzi ww ,afu nimeingiza dola 55 ndani ya dk tatu unajua sh ngapi karibu laki na 20 ndani ya dk 3
Hivi ni muda gani unaweza ukajua huu muda sasa news imekaribia uingie sokoni na je news zinakuwepo kila siku????
 
Nina account ina balance ya mara mia mbili ya balance ya account ya jana jana kilichopotea
Ni 1/200πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
Ni micro sasa ,hata hakiniumi na hata hvyo mm sito technical mm ni fundamental
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…