stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Nipo kutia moyo wale waliopoteza tumaini it's possible nimefanya mara nyingi nanafanya cjafika bado,
Ingawa nauona Mwanya kwa mbali sana ๐๐๐๐
Cyo successfully bado najitafuta but kwenye mbio za wanaoenda na mm hata kama ni wa mwisho naenda.
Nipo kuonesha dunia trading is skill na si mtaji,kupoteza kupo mm nilishaga poteana ,even hakuwepo hata wa kunishika mkono, nilishaacha kazi ni trade ,matokeo yake nikakosa hata mia.
Nilisha deposit ada mwisho wa Siku nikaishia kurudia mwaka.
Kijana hii kitu ni possible but c rahisi hata kidogo,hakuna game ngumu kama hii .
Haijarixh upo smart shuleni au mtaani kiasi gani huku tuliza ball Acha wenye jifunze,Achana na wanaopiga kelele hata mil 1 hawana wanategemea mshahara wa laki tano KWA mwezi๐ wa masimango.
Hii kitu ni ngumu ila ukijua kuna raha furani unapata , imagine ndani ya Saa moja umeingiza mil 1 ,et unajixkiaje?๐ค
kingine unachotakiwa kujua ni retails dont trade the market they BET, na hakunaga kitu kama forex market because it doesnt exist