Wewe unakila sifa ya kuwa mchawi, ipo hivi ,wachawi wote wanatabia kama zako. Na ukiendelea HV utakuwa mchawi
The statement yako imesema Most haijasema all,ππ
From today sitoendelea kukujibu ur sms hata nikikupa withdraw history huwezi amini.
Kama unahisi ni gambling basi sawa endeleza kuamini hivyo.
Sikulazimishi but believe my words unatabia za kike na kichawi.
Kuhusu challenge siyo endeleza bcoz the news are no longer useful. So ndo hvyo
ongeza mtaji bossSiku nzima ya leo sijafanya biashara nimepata ramani jioni hii bado kidogo nitengeneze 25k yangu ya mwisho wa wiki
View attachment 2758806
sinaongeza mtaji boss
basi poa mkuusina
sasa unaendesha vp maisha na mtaji mdogo ivosina
sijui nashangaa tuu yanaendasasa unaendesha vp maisha na mtaji mdogo ivo
we jamaaa bana, ebu tafuta kazi ya maaana aiseesijui nashangaa tuu yanaenda
Nakuonea huruma sana na nimesikitika kweli kweli.Ni utoto na ujinga kusubir pips mia Siku tatu Wakati unaweza kutrade pips mia KWA dk 3
π π kijana kaanza forex juzi nadhanNakuonea huruma sana na nimesikitika kweli kweli.
5 years expirience ,jionee huruma mwenyeweNakuonea huruma sana na nimesikitika kweli kweli.
i doubt ni 5 and you still employed5 years expirience ,jionee huruma mwenyewe
aferall forex hata uwe na miaka 60 kwenye game its the same same forex, itsnt like your going to understand it because itsnt meant to be understood the way you force it5 years expirience ,jionee huruma mwenyewe
5 years ila ukiwambiwa onyesha trade history ni unafoka kama umeibiwa mke5 years expirience ,jionee huruma mwenyewe
Guys mtabishana mpaka kesho.. kila mtu abaki na analoliamini hatuwezi wote kua na mawazo sawa..
Guys mtabishana mpaka kesho.. kila mtu abaki na analoliamini hatuwezi wote kua na mawazo sawa..